@programming.tz: so guys kutokana na vitisho kuwa vingi mapka kufikia Kuni tishia uhai kuanzia sasa atuto post live test tuta tumia lab like portswigger and hack the bock #hackthebox #jifunzekitu #programmingtz #wifihack #fbpage
bro km unajua ethical hacking hauruhusiw kutest kwny mfumo wa mtu n kama unaexpose vulnerability na km umeptia TCRA act hilo n kosa la kufungwa
nakukumbusha tu m pia n Cyber Engineer so n ushaur tu🙏💪✌️
2026-08-11 05:07:22
14
alyazid alie :
group muhm
2026-08-11 02:26:02
0
jay_09 :
tufundishie hata na kwenye group letu kaka
2026-08-10 07:07:36
7
Herman Njiwa🇹🇿 :
mzee nakurekebisha kidogo kiswahili, Sio kwanzia ni ni kuanzia, na sio Amia ni hamia, sio dhambi kurekebishana
2026-08-10 16:33:10
11
never_mind :
we endelea tu 😁😁😁
2026-08-10 07:10:08
4
Bin Adam :
pamoja kiongozi tuta endelea kuku fuatilia kk
2026-08-10 07:13:35
3
Jbøy_Çreator :
😂😂😁😁....saw kk....
2026-08-10 07:11:49
1
MR T :
link mbona haiyeleweki broo
2026-08-10 13:49:40
2
brightson@diplomat. :
nitakufatilia
2026-08-10 13:25:53
0
MusicTherapy :
Na utakuta kaenda shule na mimi. Wakati mwenzangu anahack me napost mimbo! This life guys!!
2026-08-12 13:59:29
0
Ossy Jr. :
sawa mkuu
2026-08-10 07:06:38
1
dj_danny_dee_ :
Mbn link yako hainipeleki kwenye group
2026-08-10 08:07:53
2
Jose :
kufanya hack kibongo bongo ni kosa kisheria yani wakikupata maji utaita mma na pia kama unahack mfumo wa mtu lazima uwe na kibali cha maandishi kutoka kwenye kampuni husika na pia unavyofundisha kwa lengo jema si kila mtu unaemfundisha anakuwa na lengo jema kwahiyo na wewe waonee huruma hao wenye makampuni na wenye mifumo maana nao wanateseka sana jamani ila na kukumbusha tu wakikupata usije ukalaumu ila all in all bigup bro kwa kulitambua hilo
2026-08-11 03:56:17
4
__bill.g :
Nina mawazo anko yanahitaji uwezo wako please nijibu DM anko itakuwa hnyama tukifanya kitu
2026-08-10 09:51:08
1
ELNETISPBILLING :
Sema ile kwa billing system, ina fikirisha, ile loop hole ya ku mac sniffing. Niliwaza system zisifanye autologin zitume code kwenye namba ya mteja, ina solve ile loop lakini gharama za sms na UX inakuwa mbovu.
2026-08-11 05:43:39
1
A.Y :
tupe links ya group bro🔥
2026-08-10 17:09:58
0
Humud Juma :
kaka na mm natak uniunge
2026-08-10 17:54:22
1
BigVirus :
you should have started with Ghost Mode
2026-08-12 19:14:03
0
To see more videos from user @programming.tz, please go to the Tikwm
homepage.