dar umeongea vizurisana nabirakuogopa safisana 👍💯🇹🇿
2026-08-18 08:20:32
5
Leonard Masambaji :
good broo
umeongea vyema
2026-08-18 06:51:49
2
Mpochi Jr :
ametisha nasa jamaa
2026-08-18 08:53:35
1
CAPTAIN FAD :
msemaji wamadereva uyu apa tumempata
2026-08-18 08:54:40
1
seleman :
kwanini selekali haijengi parking za kutosha.malori yamekuwa mengi sana.lazima watapaki barabarani
2026-08-18 08:01:02
0
user69612883153181 :
Safi kaka umeongeq pointi nzuri Sana
2026-08-18 06:48:53
1
Wakishua😎 :
fact
2026-08-18 08:45:29
0
meddy mngole :
wewenideleva mwenyeakili nyingi sana
2026-08-18 08:40:24
0
Rais wa Muheza Tanga :
Oya poa sana
2026-08-18 08:42:49
0
World Lyrics :
hapo kwenye icd watajifanya hawajaskiaa
2026-08-18 08:16:08
1
Remigi freemon :
kaka umeongea Point sana
2026-08-18 08:13:25
0
Baba Faa :
nimeipenda iyo point ya kuchukia serekali,na sababu zipo tusikilizeni muone Taifa litakavo pendeza
2026-08-18 08:46:49
0
hassanihusseniibr :
kwa ushauri serekali inatakiwa kutafuta eneo la kusubiria kwa ajili ya malori kuja kushusha mizigo mfano kwa tunao safiri nchi tofauti tofauti tunakuta maeeno yametengwa kwa ajili ya kusubiri kwenda kuvuka kwenda nchi nyingi na mfano tuchukulie mfano wa tunduma dereva hauto toa gari yako kwenda barabara kuu biila kuitwa na askari wa usalama barabarani naiomba rerekali kwa hili itawalaumu madereva naomba mkuu wa mkoa kk yetu chalemila kbla hujachukua jukumu la kukamata maderva anza na wamiliki wa maasidii utendeji wao wa kazi nao utendaji si mzuri ndo kinacho sababisha foleni zote hizo
2026-08-18 07:33:16
0
Masha Halifa :
Kwa ushaurii tu ni Bora kwala ikazaniwe ifanye kazi kuepusha jam mjini.
2026-08-18 08:27:04
1
Alex Mwakosya :
2026-08-18 07:53:43
0
Mkamba Maulid :
Akili nyingi sanaaa🤣💪
Big up Brother umenena inavyo takiwa kunena🙏
2026-08-18 08:54:43
0
Erick Jacob :
fact ✊
2026-08-18 14:50:18
0
johnii :
nimemwelewa san nimeskiza x2
2026-08-18 11:30:53
0
Gaston Paskaly :
point sana kijana
2026-08-18 08:10:07
0
RAJABU MOHAMED :
Nawanajua kosa lao viongozi kwa kuwa miradi inapangwa na kutekelezwa ila haitumiki kwa makusudi tu kwa manufaa ya watu wachache(mradi ulishafanyika kwala ila gari haziendi)Fedha zinawekezwa halafu hafatiliwi kurejesha faida, jambo hili linakinzana na mipango ya maendeleo ya serikali.
2026-08-18 07:49:05
0
King Rich :
Wageni kutoka nnje ya nchi tunapo kuwa nao hapa Dar wanaonyeshwa kushangazwa sana mtu unasimama kwenye foleni masaa 3 hadi 4 hii ni shida sana
2026-08-18 08:39:25
0
To see more videos from user @umeme27, please go to the Tikwm
homepage.