@aom.xwc:

ออม
ออม
Open In TikTok:
Region: TH
Wednesday 19 August 2026 13:29:51 GMT
820
211
2
7

Music

Download

Comments

ladybug19792
ตะวัน :
น่ารัก
2026-08-19 14:46:32
0
1dd911
1DEEDEE :
😇😇😇
2026-08-19 14:41:56
0
To see more videos from user @aom.xwc, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

KAY MZIWANDA BAADA YA KUWANYOOSHA TAKATAKA WA JAY RYTTY SASA AWAGEUKIA TAKATAKA WA MO DEWJI 'WAZEE MTUKOME' Nafikiri kwa sasa wale mashabiki na wanachama wa Simba SC yenyewe na sio Jay-Rutty SC wala Mo Dewji SC na Mangungu SC watakua wanakubaliana kwa kila neno na Kay Mziwanda ambae ameamua kukemea makundi yanayoendelea kumea ndani ya timu yao. Kay Mziwanda acheki na yoyote na ameamua kujivisha mabomu na kubeba silaha nzito na nyepesi na kuingia vitani kuwasambaratisha wale mashabiki na wanachama ambao yeye anawaita ni 'machawa' na ni 'takataka' 'mashabiki njaa' wanaotaka kuipasua Simba SC vipande vipande. Bila kuvaa darubini ya kuona mbali, kwa macho tu ya nyama kwa sasa ukiangalia Simba SC unaona kuna makundi na matabaka kinzani. Kuna kundi linalomtetea Mzabuni wa Jezi Jay-Rutty na wapo wafia Mo Dewji ambao wanamuombea mabaya Mzabuni wa jezi akwame kwenye mauzo ya jezi, Irizar likiaribu wao wana furahia na wanaposti mitandaoni na kushindwa kusajiliwa Feisal wamefanya mpaka 'House Party' kusheherekea. Na kuna kikundi sio kikubwa wala sio kidogo cha Chair man hili ni kundi linaloungwa mkono na 'takataka' na 'chawa' wengi wanaotoka upande wa Mzabuni wa jezi japo wapo na 'Wafia Mo Dewji' wachache wanaoingia na kutoka ambao wao wanapush agenda ya kutaka katiba iliyofanyiwa marekebisho na kuruhusiwa na vyombo halali vya Serikali ianze kutumika. Na hawa ni wataalamu wanajua wanachokifanya na wanajua nini kitakwenda kutoa endapo Katiba mpya ikianza kutumika, wapo nondo wameshamezeshwa maneno ya kua kama Katiba iliyoboreshwa ikianza kutumika itatamka wazi wawekezaji wataanzia watatu na sio kama ilivyo sasa tajiri ni mmoja tu. Na kama akikasirika anasema lolote analojisikia na hakuna mlango wa kutokea, na kwao wanaona Yanga SC ni kama wamefanikiwa kwenye mfumo wao mana wao wanahubiri wazi wazi wawekezaji kwao wataanzia watatu sasa kwanini Simba SC wao wabakishwe kwa mtu mmoja tu? Na wanaotaka Katiba mpya ianze kazi mara moja wanaamini ikianza kazi hakutakua na bodi ya udhamini na uendeshaji ambayo wao kwa sasa wanaiona ni bodi inayorimotiwa na mtu mmoja ambaye ni Rais wao wa Heshima na kwa kiasi kikubwa wanaamini pia ni sehemu ya kumkwamisha mzabuni wa Jezi.
KAY MZIWANDA BAADA YA KUWANYOOSHA TAKATAKA WA JAY RYTTY SASA AWAGEUKIA TAKATAKA WA MO DEWJI 'WAZEE MTUKOME' Nafikiri kwa sasa wale mashabiki na wanachama wa Simba SC yenyewe na sio Jay-Rutty SC wala Mo Dewji SC na Mangungu SC watakua wanakubaliana kwa kila neno na Kay Mziwanda ambae ameamua kukemea makundi yanayoendelea kumea ndani ya timu yao. Kay Mziwanda acheki na yoyote na ameamua kujivisha mabomu na kubeba silaha nzito na nyepesi na kuingia vitani kuwasambaratisha wale mashabiki na wanachama ambao yeye anawaita ni 'machawa' na ni 'takataka' 'mashabiki njaa' wanaotaka kuipasua Simba SC vipande vipande. Bila kuvaa darubini ya kuona mbali, kwa macho tu ya nyama kwa sasa ukiangalia Simba SC unaona kuna makundi na matabaka kinzani. Kuna kundi linalomtetea Mzabuni wa Jezi Jay-Rutty na wapo wafia Mo Dewji ambao wanamuombea mabaya Mzabuni wa jezi akwame kwenye mauzo ya jezi, Irizar likiaribu wao wana furahia na wanaposti mitandaoni na kushindwa kusajiliwa Feisal wamefanya mpaka 'House Party' kusheherekea. Na kuna kikundi sio kikubwa wala sio kidogo cha Chair man hili ni kundi linaloungwa mkono na 'takataka' na 'chawa' wengi wanaotoka upande wa Mzabuni wa jezi japo wapo na 'Wafia Mo Dewji' wachache wanaoingia na kutoka ambao wao wanapush agenda ya kutaka katiba iliyofanyiwa marekebisho na kuruhusiwa na vyombo halali vya Serikali ianze kutumika. Na hawa ni wataalamu wanajua wanachokifanya na wanajua nini kitakwenda kutoa endapo Katiba mpya ikianza kutumika, wapo nondo wameshamezeshwa maneno ya kua kama Katiba iliyoboreshwa ikianza kutumika itatamka wazi wawekezaji wataanzia watatu na sio kama ilivyo sasa tajiri ni mmoja tu. Na kama akikasirika anasema lolote analojisikia na hakuna mlango wa kutokea, na kwao wanaona Yanga SC ni kama wamefanikiwa kwenye mfumo wao mana wao wanahubiri wazi wazi wawekezaji kwao wataanzia watatu sasa kwanini Simba SC wao wabakishwe kwa mtu mmoja tu? Na wanaotaka Katiba mpya ianze kazi mara moja wanaamini ikianza kazi hakutakua na bodi ya udhamini na uendeshaji ambayo wao kwa sasa wanaiona ni bodi inayorimotiwa na mtu mmoja ambaye ni Rais wao wa Heshima na kwa kiasi kikubwa wanaamini pia ni sehemu ya kumkwamisha mzabuni wa Jezi.

About