@eurona.sph: Po de po… 💔❤️‍🩹 #nusetobe2027 #albanianmomsbelike #pertyyyy #dhezipahiri🤎 #qikatshqiptare

eurona🌷
eurona🌷
Open In TikTok:
Region: DE
Friday 28 August 2026 06:12:21 GMT
418472
23207
61
6656

Music

Download

Comments

eeeekras
🐈‍⬛ :
being the youngest is the worst 😭
2026-08-28 10:59:07
374
eri.domi15
Eri.Domi :
Zemra ime ti paske bërë drekën, ça caji thua?😅🥰
2026-08-28 11:30:31
48
erzaspa
erzaspa :
Dann muss ich
2026-08-28 09:17:36
119
ble.bu
0️⃣6️⃣ :
Tana qet qajq tjeter kun hahahah
2026-08-29 09:24:20
24
rosesareronaa
𝗋𝗈𝗇𝖺⁷ :
Mtute thash ku shkova tash😳😂😂
2026-08-28 19:45:28
24
arianamfazliu
𝓐𝓻𝓲𝓪𝓷𝓪🤍 :
2026-08-28 07:56:44
26
elosss771
a :
Po de gjith sherbtore
2026-08-31 18:11:31
0
xijealiu
xijealiu :
nderkohe rona se ka as nplan me u martu edhe vitin tjeter 🤣
2026-09-05 15:40:58
0
emamiftari
ema :
2026-08-28 07:32:40
13
gresa.dk
GresaDelijaj :
Ani se rona prap vjen sa tu hup 🤣🤣🤣🥹❤️❤️❤️
2026-08-29 06:25:50
0
lori_binaafann1
🩷 ᴮᶦⁿᵃᴸᵒʳᶦᵏᶻᵍˡᵒʷ🩵 :
RECEEETENN A MUNEESH ME TREGU
2026-08-28 23:29:27
0
.e.d.o.n.a
. :
Gotat e qajit dhe tabllat ku i ke ble?
2026-08-29 10:06:33
2
abc_78p
Bcvhflfmrlbfd :
Eha
2026-08-28 09:17:34
2
jetbardh_b
Jetbardh.B :
2026-08-28 17:15:13
0
idgfsh1
idgaf :
„Sivjet“ ngjit shkruhet
2026-08-29 19:41:45
1
anuariii022
A.D :
2026-08-28 15:49:41
0
sarandaxma
SARANDA :
🥺
2026-08-28 14:10:50
1
ismoke4real
ISmoke4Real :
Pse a don me ik prej shpije a?
2026-08-31 16:41:29
0
00.username_0
🫥 :
@erona🐈‍⬛ a pi nin
2026-08-29 11:08:24
1
borabiefjolla
bibi :
@rrrroonnaaaa
2026-08-29 18:21:59
1
majabrochaco
🫀 :
@sadiku_rona8
2026-08-28 13:49:41
1
bbbs55557
. :
Poo moj @rr
2026-08-29 01:32:31
0
user.bxx0
🇦🇱 :
@Ariela @smakiqiadr 😂😂
2026-08-29 13:20:35
3
fjonda_be
Fjonda💋 :
@𝑟𝑜𝑛𝑎 🥰
2026-08-29 11:22:09
1
To see more videos from user @eurona.sph, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

VIDEO: Mkaazi wa Kijiji cha Ng’hambi Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma John Thomas (28), aliyefariki dunia Septemba 11 na kuzikwa Septemba 13 mwaka huu, anadaiwa kufufuliwa kupitia maombi yaliyofanywa na Nabii Isaya, kabla ya kutoweka katika mazingira ambayo familia yake inadai kuwa bado haijayafahamu. Tukio hilo linadaiwa kutokea Septemba 17, baada ya familia kusema kuwa John alianza kuwatokea wazazi wake, hali iliyowashtua na kuwafanya kumtafuta Nabii Isaya kwa ajili ya kufanya maombi. Familia hiyo inadai kuwa wakati wa maombi hayo ilimuona John akiwa amevikwa sanda nyeupe. Baada ya tukio hilo, familia inaeleza kuwa watu walianza kufika nyumbani hapo kwa wingi, ndipo Nabii Isaya alipodaiwa kuwaagiza wamfungie John ndani hadi watu watakapopungua, akisema angerudi kukamilisha alichokuwa amekianza. Kwa mujibu wa uongozi wa Serikali ya Mtaa wa Ng’ambi, baada ya taarifa hizo kusambaa, walijaribu kumpigia simu Nabii Isaya na kumtaka arudi, lakini licha ya kusema angefika, hakutokea. Hali hiyo iliwafanya wananchi kuvunja mlango wa chumba alichodaiwa kuwekwa John ili kujiridhisha, lakini hawakumkuta mtu ndani. Mama mzazi wa John pamoja na baadhi ya wanafamilia, hata hivyo, wanaendelea kusimamia madai yao kwamba walimuona John wakati wa maombi na kwamba walimbeba na kumuingiza ndani. Familia hiyo pia inasema bado ina imani na Nabii Isaya na inaendelea kuwasiliana naye kwa matumaini kwamba atarejea kukamilisha kile wanachodai kuwa ni ufufuo. Mama huyo pia anasema anaamini kifo cha mwanawe hakikuwa cha kawaida, akieleza kuwa John alianguka kwenye maji wakati wakiwa shambani kabla ya kufariki dunia. Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Ng’hambi, William Samweli, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, akisema viongozi walifika eneo hilo na baada ya mlango kuvunjwa hawakumkuta John ndani. Samweli amewataka wananchi kuwa makini katika masuala yanayohusu imani, akisisitiza kuwa viongozi hawalengi kuingilia imani za watu. Amesema tukio hilo tayari limeripotiwa kwa mamlaka za juu kwa ajili ya uchunguzi zaidi.
VIDEO: Mkaazi wa Kijiji cha Ng’hambi Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma John Thomas (28), aliyefariki dunia Septemba 11 na kuzikwa Septemba 13 mwaka huu, anadaiwa kufufuliwa kupitia maombi yaliyofanywa na Nabii Isaya, kabla ya kutoweka katika mazingira ambayo familia yake inadai kuwa bado haijayafahamu. Tukio hilo linadaiwa kutokea Septemba 17, baada ya familia kusema kuwa John alianza kuwatokea wazazi wake, hali iliyowashtua na kuwafanya kumtafuta Nabii Isaya kwa ajili ya kufanya maombi. Familia hiyo inadai kuwa wakati wa maombi hayo ilimuona John akiwa amevikwa sanda nyeupe. Baada ya tukio hilo, familia inaeleza kuwa watu walianza kufika nyumbani hapo kwa wingi, ndipo Nabii Isaya alipodaiwa kuwaagiza wamfungie John ndani hadi watu watakapopungua, akisema angerudi kukamilisha alichokuwa amekianza. Kwa mujibu wa uongozi wa Serikali ya Mtaa wa Ng’ambi, baada ya taarifa hizo kusambaa, walijaribu kumpigia simu Nabii Isaya na kumtaka arudi, lakini licha ya kusema angefika, hakutokea. Hali hiyo iliwafanya wananchi kuvunja mlango wa chumba alichodaiwa kuwekwa John ili kujiridhisha, lakini hawakumkuta mtu ndani. Mama mzazi wa John pamoja na baadhi ya wanafamilia, hata hivyo, wanaendelea kusimamia madai yao kwamba walimuona John wakati wa maombi na kwamba walimbeba na kumuingiza ndani. Familia hiyo pia inasema bado ina imani na Nabii Isaya na inaendelea kuwasiliana naye kwa matumaini kwamba atarejea kukamilisha kile wanachodai kuwa ni ufufuo. Mama huyo pia anasema anaamini kifo cha mwanawe hakikuwa cha kawaida, akieleza kuwa John alianguka kwenye maji wakati wakiwa shambani kabla ya kufariki dunia. Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Ng’hambi, William Samweli, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, akisema viongozi walifika eneo hilo na baada ya mlango kuvunjwa hawakumkuta John ndani. Samweli amewataka wananchi kuwa makini katika masuala yanayohusu imani, akisisitiza kuwa viongozi hawalengi kuingilia imani za watu. Amesema tukio hilo tayari limeripotiwa kwa mamlaka za juu kwa ajili ya uchunguzi zaidi.

About