@icecubepls23: Suara yang selalu jadi safe place buat semua army๐Ÿซ‚ ๐Ÿ’œ -Lifetime by Justin Bieber @mnijungkook #jungkook #bts #btsarmy #weverse #fyp

oneicecube
oneicecube
Open In TikTok:
Region: ID
Monday 31 August 2026 08:59:39 GMT
1190
219
5
8

Music

Download

Comments

echoesofvee
-V :
liat dimana ih?
2026-08-31 10:40:14
0
yunlovestony
yuni :
๐Ÿ˜Œ๐Ÿ˜Œ๐Ÿ˜Œ
2026-08-31 10:12:13
2
To see more videos from user @icecubepls23, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

๐ŸŒน ROZARI TAKATIFU ๐ŸŒน ๐Ÿ™ TUSALI KWA IMANI KUU ๐Ÿ™ ๐Ÿ“ฟ JUMATANO & JUMAPILI โœจ MATENDO YA UTUKUFU โœจ ๐Ÿ™ NIA YETU KUU ๐Ÿ™ Mama Yetu Bikira Maria, tunakushukuru kwa baraka na neema zako. Leo tunakukabidhi Rozari hii pamoja na mahitaji yetu yote. ๐ŸŒน Waangalie wagonjwa na wadhofu, ๐ŸŒน waangalie wakosefu, ๐ŸŒน ndoa na familia zetu, ๐ŸŒน kazi, biashara na utume wetu, ๐ŸŒน watoto na wazazi wetu, ๐ŸŒน Kanisa na Wakristo wenzetu, ๐ŸŒน pamoja na Taifa letu. Mama Maria, tunakuomba utuombee na utupeleke kwa Mwanao Yesu. Amina. ๐Ÿ™ โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ” ๐Ÿ“ฟ MATENDO YA UTUKUFU 1๏ธโƒฃ TENDO LA KWANZA โœ๏ธ Yesu anafufuka. ๐Ÿ™ Tumwombe Mungu atujalie kugeuka watakatifu. 2๏ธโƒฃ TENDO LA PILI โœ๏ธ Yesu anapaa mbinguni. ๐Ÿ™ Tumwombe Mungu atujalie kwenda mbinguni. 3๏ธโƒฃ TENDO LA TATU ๐Ÿ”ฅ Roho Mtakatifu anawashukia Mitume. ๐Ÿ™ Tumwombe Mungu atujalie bidii katika dini yetu. 4๏ธโƒฃ TENDO LA NNE ๐ŸŒน Bikira Maria anapalizwa mbinguni. ๐Ÿ™ Tumwombe Mungu atujalie kufa vizuri. 5๏ธโƒฃ TENDO LA TANO ๐Ÿ‘‘ Bikira Maria anawekwa Malkia mbinguni. ๐Ÿ™ Tumwombe Mungu atujalie kudumu katika njia njema. โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ” ๐Ÿ“ฟ KATIKA KILA TENDO: ๐Ÿ™ Baba Yetu ๐ŸŒน Salamu Maria ร— 10 โœ๏ธ Atukuzwe Baba โค๏ธ Tuwasifu milele, Yesu, Maria na Yosefu. Ee Yesu mwema, utusamehe dhambi zetu, utukinge na moto wa milele, uongoze roho zote mbinguni, hasa zile zinazohitaji zaidi huruma yako. โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ” ๐ŸŒน SALAMU MALKIA ๐ŸŒน Salamu, Malkia, Mama mwenye huruma; uzima, tulizo na matumaini yetu, salamu. Tunakulilia katika bonde hili la machozi. Ee mwombezi wetu, utuangalie kwa macho yako yenye huruma, na mwisho wa ugeni huu utuoneshe Yesu, mzao mbarikiwa wa tumbo lako. ๐Ÿ™ Mama Maria, Malkia wa Rozari Takatifu, utuombee. โค๏ธ Yesu, Maria na Yosefu, tunawapenda. Tuokoe roho zetu. โœ๏ธ Kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu. Amina. #RozariTakatifu #MatendoYaUtukufu #MamaMaria #relatable  #tiktoktanzania๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
๐ŸŒน ROZARI TAKATIFU ๐ŸŒน ๐Ÿ™ TUSALI KWA IMANI KUU ๐Ÿ™ ๐Ÿ“ฟ JUMATANO & JUMAPILI โœจ MATENDO YA UTUKUFU โœจ ๐Ÿ™ NIA YETU KUU ๐Ÿ™ Mama Yetu Bikira Maria, tunakushukuru kwa baraka na neema zako. Leo tunakukabidhi Rozari hii pamoja na mahitaji yetu yote. ๐ŸŒน Waangalie wagonjwa na wadhofu, ๐ŸŒน waangalie wakosefu, ๐ŸŒน ndoa na familia zetu, ๐ŸŒน kazi, biashara na utume wetu, ๐ŸŒน watoto na wazazi wetu, ๐ŸŒน Kanisa na Wakristo wenzetu, ๐ŸŒน pamoja na Taifa letu. Mama Maria, tunakuomba utuombee na utupeleke kwa Mwanao Yesu. Amina. ๐Ÿ™ โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ” ๐Ÿ“ฟ MATENDO YA UTUKUFU 1๏ธโƒฃ TENDO LA KWANZA โœ๏ธ Yesu anafufuka. ๐Ÿ™ Tumwombe Mungu atujalie kugeuka watakatifu. 2๏ธโƒฃ TENDO LA PILI โœ๏ธ Yesu anapaa mbinguni. ๐Ÿ™ Tumwombe Mungu atujalie kwenda mbinguni. 3๏ธโƒฃ TENDO LA TATU ๐Ÿ”ฅ Roho Mtakatifu anawashukia Mitume. ๐Ÿ™ Tumwombe Mungu atujalie bidii katika dini yetu. 4๏ธโƒฃ TENDO LA NNE ๐ŸŒน Bikira Maria anapalizwa mbinguni. ๐Ÿ™ Tumwombe Mungu atujalie kufa vizuri. 5๏ธโƒฃ TENDO LA TANO ๐Ÿ‘‘ Bikira Maria anawekwa Malkia mbinguni. ๐Ÿ™ Tumwombe Mungu atujalie kudumu katika njia njema. โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ” ๐Ÿ“ฟ KATIKA KILA TENDO: ๐Ÿ™ Baba Yetu ๐ŸŒน Salamu Maria ร— 10 โœ๏ธ Atukuzwe Baba โค๏ธ Tuwasifu milele, Yesu, Maria na Yosefu. Ee Yesu mwema, utusamehe dhambi zetu, utukinge na moto wa milele, uongoze roho zote mbinguni, hasa zile zinazohitaji zaidi huruma yako. โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ”โ” ๐ŸŒน SALAMU MALKIA ๐ŸŒน Salamu, Malkia, Mama mwenye huruma; uzima, tulizo na matumaini yetu, salamu. Tunakulilia katika bonde hili la machozi. Ee mwombezi wetu, utuangalie kwa macho yako yenye huruma, na mwisho wa ugeni huu utuoneshe Yesu, mzao mbarikiwa wa tumbo lako. ๐Ÿ™ Mama Maria, Malkia wa Rozari Takatifu, utuombee. โค๏ธ Yesu, Maria na Yosefu, tunawapenda. Tuokoe roho zetu. โœ๏ธ Kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu. Amina. #RozariTakatifu #MatendoYaUtukufu #MamaMaria #relatable #tiktoktanzania๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

About