@nttanh0: P2: Nhìn thì không có gì nhưng lấy ra thì cũng to đấy. Nhìn thì mưng mủ đóng vảy như nhau nhưng bên trong thì như bóc túi mù vậy: Ai mà biết được kaka!😁☺️

Ntt Anh - TAAN Nails
Ntt Anh - TAAN Nails
Open In TikTok:
Region: VN
Tuesday 01 September 2026 07:37:44 GMT
43262
556
7
64

Music

Download

Comments

lang0212
Haha :
Shop ơi làm video dài dài tí xem mới đã í
2026-09-07 12:10:52
0
quynhbin2025
🌈 Quỳnh’s Quỳnh’s 🏳️‍🌈🍭 :
Có tiêm tê k chị 😁
2026-09-01 11:46:31
0
garlic.1125
Su :
😂😂😂 Chịu đau tốt thật hự hự
2026-09-01 07:52:14
0
baodang090292
Bảo Đặng :
lân đầu thấy cây này đi đẩy móc😆😆😆
2026-09-01 14:29:44
1
uyennhang98
Uyên .. :
@bon98 Ánh
2026-09-05 19:00:41
0
To see more videos from user @nttanh0, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

VIDEO: Mkutano wa Kitaifa wa Wadau wa Kutafakari Hali ya Siasa nchini wa Septemba 8, 2026, umegeuka uwanja wa mnyukano mkali wa hoja baada ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanataaluma ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA), Profesa Elgidius Ichumbaki, kukishutumu Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuendeshwa na
VIDEO: Mkutano wa Kitaifa wa Wadau wa Kutafakari Hali ya Siasa nchini wa Septemba 8, 2026, umegeuka uwanja wa mnyukano mkali wa hoja baada ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanataaluma ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA), Profesa Elgidius Ichumbaki, kukishutumu Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuendeshwa na "dude" lisilojulikana, huku Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira, akijibu kwa kuwataka wasomi kuacha kulinganisha hoja zao na "mambo ya mitandao ya kijamii". Profesa Ichumbaki amefunguka kumweleza mzee Wasira pamoja na viongozi wengine wa CCM kuwa wameshindwa kutekeleza wajibu wao wa kikatiba, kisheria, na kijamii wa kuisimamia serikali ipasavyo. Profesa Ichumbaki amekwenda mbali zaidi na kuhoji kama kweli CCM inayo mamlaka kamili ya maamuzi nchini, akidai kuwa kuna nguvu nyingine ya siri inayoratibu mambo. Aidha, amegusia ahadi ya CCM ya kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya ndani ya siku 100 za kwanza za uongozi wa Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, akidai kuwa wanachama wanaosimama kudai katiba hiyo, na wengine kutetea haki nyingine za wananchi wamekuwa ‘wakiadhibiwa’ na kufukuzwa uanachama wa CCM. Akimjibu Ichumbaki, Wasira, amepinga vikali madai kuwa watu wanaoongea kwa niaba ya wananchi wanashughulikiwa akisema, “Yeye anasema mtu akisema kwa niaba ya mambo wanayotaka wananchi anashughulikiwa. Sio kweli. Na wewe kwa kuwa ni msomi, na wasomi wana sifa moja kubwa ya kufanya utafiti. Utafiti ni sehemu muhimu ya usomi. Usipotafiti utasema chochote tu. Utakuwa kama mitandao ya kijamii ambayo haina control”. Wasira amekitetea chama chake akisema kuwa wanachama na viongozi wa CCM nao ni sehemu ya wananchi na sio malaika, hivyo nao wana haki na uwezo wa kutoa maoni yao huru.

About