@786nid: GRWM @chanel.beauty #chanel #chanelmakeup #chanelbeauty #chaneladdict #grwmmakeup

Ne.duh
Ne.duh
Open In TikTok:
Region: US
Thursday 03 September 2026 19:44:47 GMT
5268
327
66
17

Music

Download

Comments

nessachavez_
Nessachavez_ :
I say you leave this CC collection by your window😅
2026-09-09 15:42:19
0
thesimple_life
Simple :
What pink powder blush is that?? :o
2026-09-08 10:18:32
1
anhcachen
anh yen 💋 :
the way i clicked sooo fast😍
2026-09-03 20:17:41
2
reagziz
Reagan :
They need to sponsor you for real
2026-09-03 20:42:39
3
khuloudmaia
Khuloud Maia :
Love it 😍
2026-09-04 04:41:34
1
_ngpa22
Nicole :
What shade do you use in the powder?
2026-09-03 23:46:38
1
valeriaanmm
Valeria :
What color is the allure lipstick in?
2026-09-03 20:10:29
1
kaymunozbeauty
Krista M 🌷 :
Stunning every time Chanel gives the best glow ✨
2026-09-03 20:14:54
1
ninasbeautyedit
ninasbeautyedit :
Stunning girl! So so stunning 🥰🥰🥰
2026-09-03 20:09:54
1
debbieselfcarecreator
debbie self-care creator 🌸 :
Gorgeous x may i know the chanel palette name please xx
2026-09-04 09:42:06
1
ivajorg
iva :
the glow!!! 😍
2026-09-04 12:52:46
1
maddymhebert
maddymhebert :
Want to try the new cream bronzer formula 😍
2026-09-03 22:15:05
1
luxbeautii
LuxBeauty :
Very chic 😍😍😍
2026-09-03 21:35:08
2
beautybykline
BeautyByKline :
So beautiful!! Love the blushes❤️
2026-09-03 20:15:09
2
alexis__katherine
Alexis | Beauty & Lifestyle 💓 :
Skin is so glowy ✨ flawless!!!
2026-09-03 21:27:47
2
sheenaliotta11
Sheena :
The glow drops.. I want those 👀✨
2026-09-04 15:33:54
1
tryitwithlexx
Alexis-Beauty :
Those cream products look gorgeous
2026-09-03 21:27:31
2
reagziz
Reagan :
I am always soooo influenced by these videos
2026-09-03 20:42:49
1
onlyushna
ush | PhDiva :
Absolutely gorgeous WOW 😍❤️
2026-09-03 23:57:57
1
heena030863
heena030863 :
Looking good
2026-09-04 15:24:17
1
alana._97
Carla 🤍 :
The bronzer makes a big difference 😍
2026-09-04 04:33:54
1
kayla_self
kayla💋✨| beauty creator :
absolutely beautiful girlie!
2026-09-03 22:07:32
1
msspatty
Patricia Tello :
I think I need this eye palette
2026-09-04 04:50:13
1
mmeliah.creates
mmeliah :
Your makeup is always stunning😍
2026-09-03 21:11:25
1
realtalkwithrene
RealTalkWithRene :
So beautiful 😍
2026-09-03 20:40:32
1
To see more videos from user @786nid, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amesema Serikali itaendelea kuweka mkazo katika kuboresha mazingira ya kazi na kulinda heshima na haki za madereva nchini, akisisitiza kuwa kundi hilo ni nguzo muhimu katika sekta ya usafiri na usafirishaji. Prof. Mkumbo ameyasema hayo leo Septemba Mosi, 2026 Bungeni  jijini Dodoma wakati akiongezea majibu ya Naibu Waziri kuhusu hoja ya Mbunge wa Mlalo, Mhe. Rashid Abdallah Shangazi, iliyohusu changamoto mbalimbali zinazowakabili madereva nchini. Amesema sekta ya usafiri na usafirishaji ni miongoni mwa sekta muhimu zinazochochea ukuaji wa uchumi wa Tanzania, ikichangia asilimia 8.5 ya uchumi na kutoa ajira kwa takribani asilimia 4.4 ya nguvu kazi nchini. Kwa mujibu wa Prof. Mkumbo, Tanzania inakadiriwa kuwa na madereva kati ya milioni 1.1 hadi 1.3, idadi inayoonesha kwa kiasi kikubwa nafasi yao katika kuendesha shughuli za kiuchumi na kijamii. Amesema kupitia Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano, Serikali imelenga kuongeza ajira zenye staha na hivyo itaendelea kutoa kipaumbele kwa sekta hiyo, ikiwemo kuhakikisha madereva wanapata mazingira bora ya kutekeleza majukumu yao. Aidha, Prof. Mkumbo ameshauri kuwa endapo kutabainika vitendo vya dhuluma, uonevu au ukiukwaji wa haki dhidi ya madereva, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora inapaswa kufuatilia changamoto hizo na kuhakikisha haki za madereva zinalindwa. Amesisitiza kuwa uboreshaji wa mazingira ya kazi kwa madereva ni sehemu muhimu ya kujenga sekta ya usafiri na usafirishaji yenye tija, inayoheshimu utu na inayochangia kikamilifu maendeleo ya taifa. #Pakua App ya #OpenMedia playstore kusikiliza #DoubleORadio na kutazama  #OpenMTV au kupitia tovuti #openmedia.co.tz, Kwa Matukio, Habari na Matangazo wasiliana nasi 0677107271 au 0677107273.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amesema Serikali itaendelea kuweka mkazo katika kuboresha mazingira ya kazi na kulinda heshima na haki za madereva nchini, akisisitiza kuwa kundi hilo ni nguzo muhimu katika sekta ya usafiri na usafirishaji. Prof. Mkumbo ameyasema hayo leo Septemba Mosi, 2026 Bungeni jijini Dodoma wakati akiongezea majibu ya Naibu Waziri kuhusu hoja ya Mbunge wa Mlalo, Mhe. Rashid Abdallah Shangazi, iliyohusu changamoto mbalimbali zinazowakabili madereva nchini. Amesema sekta ya usafiri na usafirishaji ni miongoni mwa sekta muhimu zinazochochea ukuaji wa uchumi wa Tanzania, ikichangia asilimia 8.5 ya uchumi na kutoa ajira kwa takribani asilimia 4.4 ya nguvu kazi nchini. Kwa mujibu wa Prof. Mkumbo, Tanzania inakadiriwa kuwa na madereva kati ya milioni 1.1 hadi 1.3, idadi inayoonesha kwa kiasi kikubwa nafasi yao katika kuendesha shughuli za kiuchumi na kijamii. Amesema kupitia Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano, Serikali imelenga kuongeza ajira zenye staha na hivyo itaendelea kutoa kipaumbele kwa sekta hiyo, ikiwemo kuhakikisha madereva wanapata mazingira bora ya kutekeleza majukumu yao. Aidha, Prof. Mkumbo ameshauri kuwa endapo kutabainika vitendo vya dhuluma, uonevu au ukiukwaji wa haki dhidi ya madereva, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora inapaswa kufuatilia changamoto hizo na kuhakikisha haki za madereva zinalindwa. Amesisitiza kuwa uboreshaji wa mazingira ya kazi kwa madereva ni sehemu muhimu ya kujenga sekta ya usafiri na usafirishaji yenye tija, inayoheshimu utu na inayochangia kikamilifu maendeleo ya taifa. #Pakua App ya #OpenMedia playstore kusikiliza #DoubleORadio na kutazama #OpenMTV au kupitia tovuti #openmedia.co.tz, Kwa Matukio, Habari na Matangazo wasiliana nasi 0677107271 au 0677107273.

About