@mamasubmeter_tz: 📞0713130595 Location: Kariakoo, Lindi & Congo Product: single & three phase meters Submeter sio kifaa cha ziada ❌ Ni suluhisho la migogoro ya umeme, hasara na malalamiko ya kila mwezi ⚡ Kama unauza au unafunga vifaa vya umeme, hii ni fursa 💡 Elimu sahihi = wateja wa kudumu. 📩 DM kwa ushauri na huduma. #SubmeterTanzania #UmemeTz #VifaaVyaUmeme #ElectricalSupplies #HardwareTz
Hujawahi kujibu swali…wapangaji wengine hawajaweka umeme mimi nmeweka kwenye meter kuu na submiter je wapangaji ambao hawana submitter watakuw wanautumia ule umeme wangu wa meter kuu??? Na je huo umeme ukiisha meter kuu kwangu mimi mwenye submeter utakata pia??? Hilo ndiyo swali ambalo hujawahi kulijibu
2026-09-05 07:03:29
1
bahati laizer :
kwahiyo ukipata token mbili Moja ukiweka Kwa mita ya tanesko jee Kila mwenye sabmita anatakiwa kufanya hivo?
2026-09-05 06:48:26
0
shaabymzara :
mfomo wenu hupi?
2026-09-05 06:41:15
0
To see more videos from user @mamasubmeter_tz, please go to the Tikwm
homepage.