Hii nchi tangu watu wachome chanjo ya COVID 19 haijakaa sawa
2026-09-06 02:50:48
19
Br33zy_p0p :
Zanzibar hakujawahi kufanyika kitu kikawa endelevuuu😂🙌🏽
2026-09-05 21:14:59
11
SHEKS :
Tutalipia tena eee
2026-09-06 03:35:40
0
🇵🇸 :
Wizi mtupu
2026-09-05 21:17:46
4
uprising501 :
Mimi nasubiri awamu ya nne ndio nikabadilishe namba
2026-09-06 03:43:37
3
Dr Pemberiae 😜 :
Kwa kwl lengo ni zuri sana kudhibiti Ajali barabaran hatukatai mtu anajitahd kurekebisha makosa yote ili anze kua salama lkn fain mlizozieka mturudisha kule kule hatuwez kuzilipa me naamin hamkua tayar kusaidia wananchi Bali mumeamua kumkomoa mana haiwezekan fain anayopigwa na misharaha ya serekal haipishani sana ss me nahic mnataka kututia usugu ili tusiweze kulipa mana uwezo wa kulipa fain izo hatuna. Naomba serekal yng eke fain ambayo mwananchi ataweza kulipa bila ya hivyo vyombo vitard kule kule havitopas bas 🙏🏼
2026-09-06 03:22:08
2
lezandrobastoni :
Mimi jana nimesukuma ndiga speed 80 BMW tena airport hakuna ata message nimepokea...😂 camera sjui zikoje😁
2026-09-06 05:39:52
1
Version :
Hakujawai kufanyika jambo ambalo limenyooka 😂 sjui tumerogwa na nan
2026-09-05 21:32:22
1
Fardan99 :
Nchi yangu
2026-09-05 21:39:23
1
Fix :
Km bure sawa 🤔🤔🤔
2026-09-05 20:53:42
1
user3502918181621 :
kwani mwazo mulikuwa wapi munatudhulumu tu an Allah atawarudi
2026-09-06 03:58:53
1
Omar bare :
zanzibar bhana Z 917 EP..ZEN...Z AAB 917 kuna na ya tatu ahsante mkuu...zanzibar bhana...tusubir na ya nne🤣🤣
2026-09-05 21:56:37
3
rojas :
wacha twende tutafika
2026-09-05 22:47:16
0
khamiskhamis140 :
nahisi sasa licha ya kutupa Bure nakutulipa mutulipe kwa sababu ya mda wetu
2026-09-06 04:41:11
1
Khamis Masere :
Kwani Ata zikibaki namba za Zaman zinakua hatarini au acheni mambo ayo
2026-09-05 21:08:07
3
poazanzibartours :
Mimi nilijua tu ndio maana sijabadilisha😂😂
2026-09-05 23:51:59
1
Dr Pemberiae 😜 :
Mhe ningeomba swali langu nikufike. Camera zimeekwa ila ss ni binaadam ikitokea émergence labda umempakia mzaz anataka kujifungua kwl utembee speed 50 au kuna Ajali imetokea unataka kusaidia kuwahisha hospital je ufanyeje camera itaweza kutambua émergence
2026-09-06 03:30:43
4
nawwar sultwaan :
vyombo vingi sana vinaibiwa sikuizi kwasaabu ya kila siku kunadilisha namba hapaeleweki yani
2026-09-05 23:31:15
1
Ahmad Zahor :
Muanze kushughuligari za serikali ndio nyingi zinazoweka plate number za bara na unaikuta gari ya sms juu inaweka plate number AA ni ya zamani sana wazibana pini kwaiyo munapo fanya haki iwe kwa wote kwani usalama barabarani sio kwa wanyonge tu bali ni kwa wote kwani magari ya serikali ndio ya mwanzo kuvunja sheria barabarani bila dharura maalum
2026-09-06 00:46:13
2
zitospicefarm1 :
Kwa kweli mnatuumiza sana idara ya Usafiri na leseni ila sawa kila jambo lina mwanzo na mwisho wake🙏
2026-09-05 21:31:50
1
said kren :
mnatuhangqisha tuu hamuweleweki
2026-09-05 20:56:37
1
Br33zy_p0p :
Me nachkaga t😂😂
2026-09-05 21:11:59
1
saifsaify20 :
Ata tukifika mbinguni tumechoka
2026-09-05 21:09:52
1
Fahad fady :
Mungeendeleza tu km ilifika ZZ iwe AAA ama zingepewa AZZ number zika anza BAA msinge sumbuka sanaa
2026-09-06 05:39:16
0
To see more videos from user @asam.media.group, please go to the Tikwm
homepage.