@taphoamonoi: #vochongnang #tatchongtron #tatda

Tạp Hoá Mon Ơi
Tạp Hoá Mon Ơi
Open In TikTok:
Region: VN
Tuesday 08 September 2026 14:15:00 GMT
4
0
0
1

Music

Download

Comments

There are no more comments for this video.
To see more videos from user @taphoamonoi, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

VIDEO: Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, ameitaka jamii na wanasiasa kutafakari kwa kina dhana ya mabadiliko ya katiba, akionya kuwa mchakato huo unapaswa kuheshimu historia ya nchi badala ya kujaribu kuunda nchi mpya au kunakili katiba za nje. Akizungumza Septemba 8, 2026, katika Mkutano wa Kitaifa wa Wadau wa Kutafakari Hali ya Siasa nchini unaofanyika mkoani Dar es Salaam, mwanasiasa huyo mkongwe amejibu hoja za viongozi wa upinzani kuhusu mabadiliko ya katiba huku akigusia uhusiano wa muungano na mustakabali wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (GNU/SUK). Kuhusu hali ya kisiasa ya Zanzibar, Wasira ameeleza imani yake kuwa tofauti zilizopo katika kukamilisha na kuanza kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (GNU) zinaweza kutatuliwa na kuundwa kwa serikali madhubuti kwa ajili ya kuleta utulivu (stability), ambayo ndiyo msingi wa maendeleo ya nchi yoyote. Pamoja na matumaini hayo, Wasira alirusha
VIDEO: Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, ameitaka jamii na wanasiasa kutafakari kwa kina dhana ya mabadiliko ya katiba, akionya kuwa mchakato huo unapaswa kuheshimu historia ya nchi badala ya kujaribu kuunda nchi mpya au kunakili katiba za nje. Akizungumza Septemba 8, 2026, katika Mkutano wa Kitaifa wa Wadau wa Kutafakari Hali ya Siasa nchini unaofanyika mkoani Dar es Salaam, mwanasiasa huyo mkongwe amejibu hoja za viongozi wa upinzani kuhusu mabadiliko ya katiba huku akigusia uhusiano wa muungano na mustakabali wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (GNU/SUK). Kuhusu hali ya kisiasa ya Zanzibar, Wasira ameeleza imani yake kuwa tofauti zilizopo katika kukamilisha na kuanza kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (GNU) zinaweza kutatuliwa na kuundwa kwa serikali madhubuti kwa ajili ya kuleta utulivu (stability), ambayo ndiyo msingi wa maendeleo ya nchi yoyote. Pamoja na matumaini hayo, Wasira alirusha "swali la kichokozi" kwa chama cha ACT Wazalendo akitaka ufafanuzi wa kisera kuhusu msimamo wa ACT Wazalendo unaodai "Zanzibar yenye mamlaka kamili". Amehoji maana halisi ya mamlaka hayo kamili kwa kusema kuwa kwa sasa Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano na inayo Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) inayoshughulikia takriban mambo yote ya Zanzibar, isipokuwa mambo machache. Ameonya kuwa kutofafanuliwa vizuri kwa dhana ya "mamlaka kamili" kunaleta mkanganyiko mkubwa kwa wananchi na kunaweza kuamsha migogoro hadi Tanzania Bara “Sasa unaposema Zanzibar yenye mamlaka kamili... inakuwa sehemu ya muungano au inakuwa sovereignty? Na kama inakuwa sovereignty, huo ndio mwisho wa United Republic of Tanzania au inakuwaje? Hili ni jambo kubwa ambalo nalo tusipolifanyia ufafanuzi linayumbisha watu,” amesema Wasira.

About