@nengratu01: #liriclagu#slowmo#CapCut#fypシ゚🇮🇩🇦🇪

quєєn sílєnt🦀
quєєn sílєnt🦀
Open In TikTok:
Region: AE
Wednesday 09 September 2026 15:56:40 GMT
101166
1636
6
161

Music

Download

Comments

ochie395
𝑶𝒄𝒉𝒊𝒆_Rz :
sedalam mana😔😔😔
2026-09-09 17:33:40
2
riia.aja
Riia :
2026-09-17 00:43:25
0
rathymokoagow6
Ting 🌸 :
siapa penyanyiNya ka
2026-09-16 11:09:52
0
nurul.nadiah143
Nurul :
😂😂😂
2026-09-10 04:14:37
0
r_leogirl08
💞🌹 𝓡¹ 🌹💞 :
😔😔😔
2026-09-10 04:43:40
0
daffa_0502
DAFFA💫 :
😔😔😔
2026-09-10 06:12:31
0
To see more videos from user @nengratu01, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

VIDEO: Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, SACP William Mkonda, amesema kabla ya kuanza utekelezaji wa Mfumo wa Pointi kwenye leseni za udereva, Jeshi la Polisi linatarajia kutoa elimu ya kutosha kwa madereva na wadau wa usalama barabarani. SACP Mkonda amesema hatua hiyo imechukuliwa baada ya kubaini kuwepo kwa mashaka na taarifa zinazozagaa katika makundi ya WhatsApp na maeneo mengine kuhusu mfumo huo, akisisitiza kuwa kanuni ipo tayari, lakini elimu inapaswa kutolewa kwanza kabla ya utekelezaji wake. Amesema katika zoezi hilo watatoa vipeperushi vyenye maelezo kuhusu namna mfumo huo utakavyofanya kazi, makosa yanayoweza kuhusishwa na pointi pamoja na mambo ambayo madereva wanapaswa kuyafahamu ili kujilinda dhidi ya ukiukaji wa sheria. Aidha, SACP Mkonda amekanusha taarifa kwamba kwa sasa madereva wanapopewa tiketi za makosa ya barabarani wanakatwa pointi kwenye leseni zao, akieleza kuwa alama zinazoonekana kwenye mfumo zilikuwepo tangu kipindi cha majaribio cha mwaka 2014 na hazimaanishi kuwa pointi mpya zimekatwa kwenye leseni za madereva. Amesema ili pointi ziweze kuhusishwa moja kwa moja na leseni ya dereva, mfumo huo unatakiwa kuunganishwa na mfumo wa mamlaka inayohusika na utoaji wa leseni. SACP Mkonda amewataka viongozi wa madereva na wadau wengine kuwa sehemu ya kutoa elimu badala ya kueneza taarifa zisizo sahihi, akisisitiza kuwa viongozi wanapaswa kuwa walimu na kusema ukweli kwa wanachama wao. Amesema lengo ni kuhakikisha elimu ya kutosha inatolewa na changamoto zilizobainishwa na viongozi wa madereva zinashughulikiwa kabla ya kuanza utekelezaji kamili wa mfumo huo. #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #DarEsSalaam #Tanzania #Bongo #Habari #HabariLeo #BreakingNewsTZ #TanzaniaNews #BongoUpdates #TzUpdates #TzNews #BongoMedia #MediaTanzania #OnlineTV #trendingréels #tanzaniatrending #polisiviral #Asanteni #tanzaniatrending_habari #tanzaniatrendingsong #mediatanzania #tanzaniatrendingvideos #tanzaniatrendingstory #TanzaniaTre #madeintanzania🇹🇿 #madeintanzan #madeintanzania #SupportLocal #madeintanzaniat #roadto100followersontwitch #madeintanzaniawith #chawamata_tv #viraltz
VIDEO: Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, SACP William Mkonda, amesema kabla ya kuanza utekelezaji wa Mfumo wa Pointi kwenye leseni za udereva, Jeshi la Polisi linatarajia kutoa elimu ya kutosha kwa madereva na wadau wa usalama barabarani. SACP Mkonda amesema hatua hiyo imechukuliwa baada ya kubaini kuwepo kwa mashaka na taarifa zinazozagaa katika makundi ya WhatsApp na maeneo mengine kuhusu mfumo huo, akisisitiza kuwa kanuni ipo tayari, lakini elimu inapaswa kutolewa kwanza kabla ya utekelezaji wake. Amesema katika zoezi hilo watatoa vipeperushi vyenye maelezo kuhusu namna mfumo huo utakavyofanya kazi, makosa yanayoweza kuhusishwa na pointi pamoja na mambo ambayo madereva wanapaswa kuyafahamu ili kujilinda dhidi ya ukiukaji wa sheria. Aidha, SACP Mkonda amekanusha taarifa kwamba kwa sasa madereva wanapopewa tiketi za makosa ya barabarani wanakatwa pointi kwenye leseni zao, akieleza kuwa alama zinazoonekana kwenye mfumo zilikuwepo tangu kipindi cha majaribio cha mwaka 2014 na hazimaanishi kuwa pointi mpya zimekatwa kwenye leseni za madereva. Amesema ili pointi ziweze kuhusishwa moja kwa moja na leseni ya dereva, mfumo huo unatakiwa kuunganishwa na mfumo wa mamlaka inayohusika na utoaji wa leseni. SACP Mkonda amewataka viongozi wa madereva na wadau wengine kuwa sehemu ya kutoa elimu badala ya kueneza taarifa zisizo sahihi, akisisitiza kuwa viongozi wanapaswa kuwa walimu na kusema ukweli kwa wanachama wao. Amesema lengo ni kuhakikisha elimu ya kutosha inatolewa na changamoto zilizobainishwa na viongozi wa madereva zinashughulikiwa kabla ya kuanza utekelezaji kamili wa mfumo huo. #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #DarEsSalaam #Tanzania #Bongo #Habari #HabariLeo #BreakingNewsTZ #TanzaniaNews #BongoUpdates #TzUpdates #TzNews #BongoMedia #MediaTanzania #OnlineTV #trendingréels #tanzaniatrending #polisiviral #Asanteni #tanzaniatrending_habari #tanzaniatrendingsong #mediatanzania #tanzaniatrendingvideos #tanzaniatrendingstory #TanzaniaTre #madeintanzania🇹🇿 #madeintanzan #madeintanzania #SupportLocal #madeintanzaniat #roadto100followersontwitch #madeintanzaniawith #chawamata_tv #viraltz

About