kwani tramp si katangaza anasema anauwezo wa kuinunua afrika nzima,,mbishieni watanzania semeni hauwezi kuinunua African iyo tanzania tu inakushinda,lazima tramp atataka sifa atainunua ,akishainunua tu mm nitaenda kuomba uraia singapore,kule nazalisha watoto kama hamsini ili nipate pesa ya kuinunua nchi nyengine,mtaji nguvu za kiume tu 🤣
2026-09-11 09:49:49
2
@Mike Vybz🫡 :
n mbyaa mazee
2026-09-10 21:41:43
1
warioes_MANDA_gang :
kaz tunayo
2026-09-11 09:14:24
0
devotha erck :
😳😳 nachoka mm
2026-09-10 22:45:41
3
@love G😏🤍 :
mmmh kazi ipo kwaiyo kila mtoto ana deni lake niongee kwakukaa au kwa kusimam maan nashindwa kuelewa hizi nch tunaelekewa wapi😂😂😂