Huu mfumo ndio unatumiwa na nchi zilizoendelea, na ni mfumo ambao unazjia zana ajali, ila.kwa huku kwetu hizo point zitakuwa za uonevu kwa kuwa polisi wanavizia wenye magari wafanye makosa ya lazima,
2026-09-11 20:38:24
2
SPECIAL FUSO🚚 :
Yani hizo point kwa dereva ambae yupo njian siku zote hazimaliz siku 15 watuambie tu ukwel tupaki magari bas tukalime mateja waongezeke mtaan
bado kufanya mambo ya muhimu serikali nchi amewashinda.
2026-09-11 22:26:09
0
Jeff Ryder744 :
Warudishe na Hela zetu wabaki na Lesen zao tu.
2026-09-11 20:17:05
1
Lambert 🤠🤠 :
Sasa sijaelewa point wanakata na fine wanakupiga, wawe wanaamua jambo moja either point au kulipa fine.
Na waeke namna bhaac ya kuongeza mana mda mwingine dereva anatenda wema na bado fine na makato ya point yapo palepale
2026-09-11 22:50:13
0
Michaelleo :
Tuzo point
2026-09-11 21:34:24
0
Hassan Issa Bobo :
mm yangu ina 11
2026-09-11 21:26:30
0
Kaini John :
Daa yani nashindwa kuelewa kweli Madereva Sasa inatakiwa twendeni kúlima tu
2026-09-11 21:46:11
0
Timago Studio :
😂😂😂 kumbe wapi seriously hivi nilijua wanatani bana, kweli Kila mtu ATAFIKIWA kwa wakati wake 😂😂
2026-09-11 21:04:35
0
David :
Waweke kwa kiswahili sasa hii nchi lugha mama ni kiswahili😅
2026-09-11 21:01:01
0
mwanza phone accesories :
achana na lessen gharama za kununua gar jeee
2026-09-11 20:37:49
0
Baba D :
mbna hyo anazo nyingi sana izoo
2026-09-11 20:37:30
0
A :
hizipont zinge katwa kwa makosa makubwa kama ajal kusababisha ajali au yatafutwe makosa maalum ya kupunguza point ila kwa makosa ya kila siku naon kama rushwa itatembea maama derev ataon bola haonge iyo fain ili pont sisishuke
2026-09-12 00:10:02
0
Daddy :
nna point sifuri na sijawahi andikiwa kosa yapata katika miaka mitatu
2026-09-11 23:45:39
0
Erasto njombe finest :
ni mbaya tu mkuu
2026-09-11 20:52:11
0
Miss.Smilling :
kwahiyo zikiisha inakuaje🤣
2026-09-11 20:54:00
0
moris soud :
ndio zikiisha bc tenaa
2026-09-11 15:59:42
0
To see more videos from user @rd.master5mambamyamba, please go to the Tikwm
homepage.