@abdulaziz_2088: التردد والخوف ماتودي بعيد

عبدالعزيز المطيري
عبدالعزيز المطيري
Open In TikTok:
Region: SA
Friday 11 September 2026 12:57:47 GMT
93774
2151
189
557

Music

Download

Comments

dhme030
DHME . :
الدراسة مضيعة للوقت والرزق
2026-09-11 23:41:44
42
bd.d.dr
i.bdr1 :
تكلم هذي الشخصيات ياسر الحزيمي سبحان الله انطبق المثل عليهم ، يقول احيانا تكون معك شهادات تصير حذر وتقل شجاعتك لانك تحسب حساب المخاطر ، اما اللي مايجيك معه شهاده يصير سايقها جلد 😂😂
2026-09-11 15:07:03
61
i.ll.l1
خالـد الحـربي :
يالربع ترانا عرب مايحتاج نص الكلام انجليزي ونص الكلام عربي
2026-09-12 06:44:29
29
faisal9s9
Faisal9s9 :
اختصرها المتنبي في ذا البيت ذو العقلِ يَشقَى في النّعيمِ بعَقْلِهِ وأخو الجَهالَةِ في الشّقاوةِ يَنعَمُ
2026-09-12 08:22:23
9
yn4x4
YN :
انا اعلمك الفرق الأول ابو شهادة ثانوي نجح لان السوق مافيه منافسين لعقاراته السيئه ولا فيه راقابه تضرب بيد من حديد واغلب العقارات المعروضة (الا ما ندر) من الانشاء الى التشطيب سيئه ومواد تجاريه رخيصه عمرها الافتراضي 5 سنوات هذا ان كان عنده شوية ذمه من اجل البيع فقط. لانه يسلم المشروع لعمال مرتزقه ماخذهم من الشارع وشغل حي الله بدون مراقبتهم وهم يعرفون اسرار التهرب من الغرامات ويدهنون السير للمراقبين. اما الثاني وده يدخل السوق بجودة عالية من البناء الى التشطيب الى التسليم وراح تكون التكاليف اعلى من الاول (ابو شهادة ثنويه) بالاضافة الى المتابعه المستمرة اللي تحتاج تفرغ تام من الوظيفه حتى ينشىء منتج عالي الجودة. لذلك هنا اخذ بالاعتبار انه المخاطر عالية. وممكن يبيع بخسارة لذلك راح يخرج من السوق لوجود اشخاص يشتغلون بشهادات متدنيه والعمال اللي اشتغلوا العمارة اصلا بدون شهادات ولا علم.
2026-09-11 23:59:37
16
tik1881tok
sam :
يفوز باللذات كل مغامر .. ويموت بالحسرات كل خايف 🟠🌕
2026-09-11 19:39:13
23
yahya4578
يحيى YAHYA :
أبدا التجارة ليست مغامرة. يشهد الله انها توافيق فقط. انت تخطط لشيء ولا يصير. وتتفاجأ ان الله سيرك لشيء لم يكن في بالك أبدا.
2026-09-11 21:49:21
19
maraymalanezi
mariam🌸 :
المغامرة و اتخاذ القرار السريع بناء على خبرة بالسوق صح لكن بدونه والله ضايع و الفقر
2026-09-11 19:26:48
7
sh3r2000
عـابـر 𓍼ོ :
ثالث ثانوي = من وين جاب فلوس عطني ممليون
2026-09-12 20:12:17
0
zrg_507
SAM :
يا طويل العمر الناس لازم يفهمون إن الحياة دائرة ⭕️و ليست عمودية تصاعدية و هذا نطام الكون في المجرات و الكواكب و الوقت خل من عاد في حياة البشر ( ليس من طبع الحياة تمام الحظوظ ) الدكتور الإستشاري يشوفونه الناس وااااو و هو ياخذ رزقه من اللي يملك المستشفى لا يعرف يقرأ و لا يكتب ✍️
2026-09-11 13:23:38
9
bbnn3506
HRBالضبعاني1️⃣ :
لحد الان البشر مو مستوعبه ان المستوى التعليمي مو مقياس لدوزنة العمل و البشر والحياه
2026-09-12 06:52:53
3
wu4745
. :
٣ ثنوي طيب نص الشعب كذا
2026-09-11 14:52:14
1
ano3n33
Mohammed :
هو يوم درس عرف المخاطر فخاف
2026-09-11 16:02:32
4
x505xq
محمد القحطاني :
اللي بيدخل بالتجاره لابد يضبط فيها ادارة المخاطر وهذي نصيحتي لكل شخص اواجهه وكانوا يضحكون علي يقولون وش عرفك بالتجاره يوم حصلت ازمة كورونا اقسم بالله انهم جوني نفسهم قالوا ياليتنا سمعنا كلامك اللي جاه ايقاف خدمات واللي خسر واللي انسرق الله يعوض عليهم يارب ولا يخسر مسلم .
2026-09-12 02:27:17
1
h3akx
ابو مراد المحمادي :
التنفيذ الفرق في العمل في ناس تتكلم وفي ناس تنفذ
2026-09-11 21:17:07
3
f.5838
فهد | 🇸🇦 FAHAD✈️☕️ :
وش دخل الدراسة بالتجارة !؟؟
2026-09-13 09:38:17
1
sa4sa4sa4
December :
تدري ليش لان الأرزاق والتوفيق بيد الله سبحانه وتعالى قراراتك وشهادتك وعملك مالها علاقة بالرزق
2026-09-12 10:53:32
1
consultanthcm
Consultant :
معروف التردد مقبرة الفرص
2026-09-12 13:56:23
1
sultan.masterrr
Sultan Alshaibani :
مو مقياس !!! الحذر واجب .. وإذا فكرت في مشروع أو قرار لازم تضع اسوأ الاحتمالات .. والمغامرين على قولتك اكثرهم في السجون !!!
2026-09-12 01:41:01
1
user46593834441787
Llioon900 :
اشوف اغلب التعليقات من اصحاب الشهادات الجامعية وحاطين انفسهم فاهمين كل شي وأصاحب الشهادات الثانوية والمتوسطة جهال ومايفهمون شي ومايعرفون الحلال من الحرام وماعندهم دين عشان قطعة ارض وبناها بشكل سليم وعلى حسب الشروط المطلوبة وبعض المرات يبيعها عظم وهي ماخلصت هذا يدل على ان صاحب الثانوي موثوق وشغله نظيف ويعرف الحلال من الحرام ومتمسك بدينه وثقة الزباين له عشان كذا عرف كيف يبني اسم له وانت ياصاحب الجامعة عقلك فارغ وضعيف ومتردد ومسكين تسوي شركة عقارية وتبني مجموعة فلل 250 م كل شغلك مغشوش ومايهمك حلال او حرام وياكثركم تحسب إذا معك شهادة عالية ملكت العالم وخليت اللى اقل منك شهادة مايفهم وماعنده دين البعض منكم حثالة مجتمع وهو جامعي
2026-09-12 16:56:00
1
user6765204820298
الغافقي :
⛔️⛔️انا شهادتي ثالثً متوسط ⛔️⛔️وامتلك 4 الاف راس من الضان ولله الحمد 🤲الشهاده حلوه والدراسه حلوه ولاكن ماحصل لي اكمل بسبب عملي
2026-09-12 09:34:58
1
rrd.2000
🇸🇦 :
غامرت لين ما عاد في مجال للمغامرة صرت مطلوب من كل محل
2026-09-12 13:14:59
1
adel7674
A15 :
اسس سليمان الراجحي بنك الراجحي ودواجن ومرارع الربيان ووووو يعني زبدة الكلام الشهاده تمثل ٢٠ بالميه من الحياه و٨٠ بالميه مهارات الحياه تنميها وتشغلها وحاليا الادوات متاحه من يوتيوب وذكاء اصطناعي
2026-09-11 15:52:37
2
legall9
Legall9 :
ماعتقد أنها بهالسطحية : اعتقد ابو ثانوي يعرف دهاليز العمالة ووزارة العمل ولايدفع الكثير من الرسوم .. بينما الثاني بحكم معرفته بالنظام لو يبي يبدأ بالتطوير العقاري مثلاً بيبدأ نظامي .. واذا اشتغل نظامي ماهو رايح ديره من كثر الرسوم ، هذي وجهة نظري.
2026-09-11 16:07:18
0
izezo07
Za. :
اضيف على كلامك الخبره والتجربه مهمه
2026-09-11 15:53:01
1
To see more videos from user @abdulaziz_2088, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuundwa kwa Kamati ya Pamoja ya Majadiliano yenye wajumbe kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na ACT Wazalendo ni hatua muhimu katika kuendeleza mchakato wa maridhiano na kuimarisha amani, umoja na utulivu wa kisiasa Zanzibar. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo leo, tarehe 14 Septemba 2026, Ikulu, Zanzibar, alipozindua rasmi Kamati hiyo ya Pamoja ya Majadiliano. Amesema kuundwa kwa Kamati hiyo ni mwendelezo wa utekelezaji wa makubaliano yaliyofikiwa baina ya CCM na ACT Wazalendo, na kunadhihirisha dhamira ya kuendeleza majadiliano na kuhakikisha hatua zilizokubaliwa zinatekelezwa kwa manufaa ya Zanzibar na wananchi wake. Rais Dkt. Mwinyi amewataka wajumbe wa Kamati kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, kuheshimiana na kufanya kazi kwa ushirikiano, huku wakiweka mbele maslahi mapana ya Zanzibar na mustakabali wa wananchi wake. Amesema wajumbe hao wana jukumu la kuendeleza mazingira ya majadiliano yatakayowezesha makubaliano yaliyofikiwa kutekelezwa kwa vitendo na kuleta matokeo yenye manufaa kwa wananchi. Rais Dkt. Mwinyi ameeleza kuwa hatua zilizofikiwa katika mchakato wa maridhiano zimejengwa katika misingi ya amani, umoja na mshikamano, ambayo ni muhimu katika kudumisha utulivu wa kisiasa na kijamii pamoja na kuweka mazingira bora ya maendeleo. Amepongeza mchango uliotolewa na viongozi wa CCM, ACT Wazalendo, viongozi wengine wa kisiasa, wazee pamoja na viongozi wastaafu katika kuendeleza maridhiano na kujenga mazingira ya maelewano Zanzibar. Rais Dkt. Mwinyi ametoa shukrani maalum kwa Marais Wastaafu wa Zanzibar, Mhe. Dkt. Amani Abeid Karume na Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein, kwa kuendelea kutoa hekima, ushauri na mchango wao katika hatua mbalimbali za mchakato huo. Amesisitiza umuhimu wa viongozi wa vyama vya siasa na wadau wengine kuendelea kushirikiana katika kuijenga Zanzibar yenye amani, utulivu na maendeleo, akieleza kuwa tofauti za kisiasa hazipaswi kuwa kikwazo katika masuala yanayogusa maslahi ya wananchi na mustakabali wa nchi. Rais Dkt. Mwinyi amesema amani na utulivu vina nafasi kubwa katika maendeleo, kwa kuwa vinawawezesha wananchi kuendelea na shughuli zao za kiuchumi na kijamii na kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji na shughuli nyingine za maendeleo. Naye, Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Mhe. Othman Masoud Othman, amesema chama hicho kiko tayari kuendelea kushirikiana katika kuijenga Zanzibar, huku akimpongeza na kumshukuru Rais Dkt. Mwinyi kwa hatua mbalimbali alizochukua tangu mwanzo wa mchakato wa maridhiano, hususan katika kusimamia majadiliano na utekelezaji wa makubaliano yaliyofikiwa. Ameeleza kuwa hatua hizo zimeendelea kuleta matumaini kwa wananchi wa Zanzibar, ambao wana kila sababu ya kutambua na kuthamini juhudi zinazolenga kuimarisha maridhiano, umoja na maendeleo ya nchi. Mapema, Rais Dkt. Mwinyi amekabidhi Hadidu Rejea za Kamati kwa Wenyeviti Wenza wa Kamati, Ndg. Omar Ali Sheikh, Mwenyekiti Mwenza kutoka ACT Wazalendo Zanzibar na Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Zanzibar, pamoja na Ndg. Abdi Mahmoud Abdi, Mwenyekiti Mwenza kutoka CCM Zanzibar na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar. Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, viongozi wa vyama vya siasa pamoja na viongozi wa dini.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuundwa kwa Kamati ya Pamoja ya Majadiliano yenye wajumbe kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na ACT Wazalendo ni hatua muhimu katika kuendeleza mchakato wa maridhiano na kuimarisha amani, umoja na utulivu wa kisiasa Zanzibar. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo leo, tarehe 14 Septemba 2026, Ikulu, Zanzibar, alipozindua rasmi Kamati hiyo ya Pamoja ya Majadiliano. Amesema kuundwa kwa Kamati hiyo ni mwendelezo wa utekelezaji wa makubaliano yaliyofikiwa baina ya CCM na ACT Wazalendo, na kunadhihirisha dhamira ya kuendeleza majadiliano na kuhakikisha hatua zilizokubaliwa zinatekelezwa kwa manufaa ya Zanzibar na wananchi wake. Rais Dkt. Mwinyi amewataka wajumbe wa Kamati kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, kuheshimiana na kufanya kazi kwa ushirikiano, huku wakiweka mbele maslahi mapana ya Zanzibar na mustakabali wa wananchi wake. Amesema wajumbe hao wana jukumu la kuendeleza mazingira ya majadiliano yatakayowezesha makubaliano yaliyofikiwa kutekelezwa kwa vitendo na kuleta matokeo yenye manufaa kwa wananchi. Rais Dkt. Mwinyi ameeleza kuwa hatua zilizofikiwa katika mchakato wa maridhiano zimejengwa katika misingi ya amani, umoja na mshikamano, ambayo ni muhimu katika kudumisha utulivu wa kisiasa na kijamii pamoja na kuweka mazingira bora ya maendeleo. Amepongeza mchango uliotolewa na viongozi wa CCM, ACT Wazalendo, viongozi wengine wa kisiasa, wazee pamoja na viongozi wastaafu katika kuendeleza maridhiano na kujenga mazingira ya maelewano Zanzibar. Rais Dkt. Mwinyi ametoa shukrani maalum kwa Marais Wastaafu wa Zanzibar, Mhe. Dkt. Amani Abeid Karume na Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein, kwa kuendelea kutoa hekima, ushauri na mchango wao katika hatua mbalimbali za mchakato huo. Amesisitiza umuhimu wa viongozi wa vyama vya siasa na wadau wengine kuendelea kushirikiana katika kuijenga Zanzibar yenye amani, utulivu na maendeleo, akieleza kuwa tofauti za kisiasa hazipaswi kuwa kikwazo katika masuala yanayogusa maslahi ya wananchi na mustakabali wa nchi. Rais Dkt. Mwinyi amesema amani na utulivu vina nafasi kubwa katika maendeleo, kwa kuwa vinawawezesha wananchi kuendelea na shughuli zao za kiuchumi na kijamii na kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji na shughuli nyingine za maendeleo. Naye, Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Mhe. Othman Masoud Othman, amesema chama hicho kiko tayari kuendelea kushirikiana katika kuijenga Zanzibar, huku akimpongeza na kumshukuru Rais Dkt. Mwinyi kwa hatua mbalimbali alizochukua tangu mwanzo wa mchakato wa maridhiano, hususan katika kusimamia majadiliano na utekelezaji wa makubaliano yaliyofikiwa. Ameeleza kuwa hatua hizo zimeendelea kuleta matumaini kwa wananchi wa Zanzibar, ambao wana kila sababu ya kutambua na kuthamini juhudi zinazolenga kuimarisha maridhiano, umoja na maendeleo ya nchi. Mapema, Rais Dkt. Mwinyi amekabidhi Hadidu Rejea za Kamati kwa Wenyeviti Wenza wa Kamati, Ndg. Omar Ali Sheikh, Mwenyekiti Mwenza kutoka ACT Wazalendo Zanzibar na Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Zanzibar, pamoja na Ndg. Abdi Mahmoud Abdi, Mwenyekiti Mwenza kutoka CCM Zanzibar na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar. Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, viongozi wa vyama vya siasa pamoja na viongozi wa dini.

About