@asal4aym6: #CapCut

asal_4aym_006
asal_4aym_006
Open In TikTok:
Region: TJ
Saturday 12 September 2026 02:11:50 GMT
179
51
19
85

Music

Download

Comments

dil_no_za
dil_no_za :
🔥🙃
2026-09-12 02:19:21
1
gulim_853
💕Qaysar qizcha💕 :
🔥🔥🔥🔥
2026-09-12 02:26:09
1
user4721096770204
луна🪐 :
🔥🔥🔥
2026-09-12 07:53:45
1
antafiqalbi966
🌸✨NoZiK_Qalb✨🌸 :
❤️❤️
2026-09-12 06:42:31
1
marjon.tiktok.com
♡🐇(✿^‿^)🐇♡ :
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
2026-09-12 16:18:31
1
muslim00632
💖_munisa_09💖 :
😍🔥🥰
2026-09-12 03:39:50
1
anakondacha6
oyshaxon 💋 :
🥰🥰🥰🥰
2026-09-12 03:08:46
1
ismailova.o11
💗Ismailova💗 :
❤️❤️❤️
2026-09-12 11:49:22
1
guzalqiz17
☘ 𝐀𝐧𝐨𝐬𝐡𝐤𝐚𝐚 ☘ :
🥺🥺😔
2026-09-12 03:08:25
1
user5607153052054
💔NASIBA CHA💔 :
🥰🥰🥰
2026-09-12 02:46:30
1
hhjjjiioojfsasxcvb
🦋🍁asal_4ai yovoni🦋🐾 :
🥰
2026-09-12 02:30:18
1
ozodbek_0763
𝐆𝐚𝐧𝐝𝐚𝐜𝐡𝐚 𝟎𝟎𝟕 :
💯🥹🥹😔💔
2026-09-12 02:36:57
1
hhjjjiioojfsasxcvb
🦋🍁asal_4ai yovoni🦋🐾 :
🥺
2026-09-12 02:30:27
1
marjon.tiktok.com
♡🐇(✿^‿^)🐇♡ :
💚💜💚💜💚💜💚💜
2026-09-12 16:18:31
1
qorakuzim4
Qora kozim :
🙂🙂🙂
2026-09-13 04:49:56
2
asiye08girl
🕷asiye08girl🕸 :
[Olov][Olov][Olov]
2026-09-12 02:19:06
1
hadicha_169
hadi 🎀 :
😍🥺
2026-09-12 02:18:50
1
m.12.m.09.m
🦋 miss ~ madina ~ 012 🦋 :
❤‍🔥❤‍🔥❤‍🔥❤‍🔥 😞
2026-09-12 02:17:44
2
To see more videos from user @asal4aym6, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Moshi.Moshi. Mwanaume ambaye jina lake halijafahamika amepanda juu ya dari la kanisa  na kuanza kujikatakata kwa kisu sehemu mbalimbali za mwili wake , huku akidaiwa kutaka kujitupa kutoka kwenye jengo hilo la ghorofa. Tukio hilo limetokea leo, Jumapili, Septemba 13, 2026, katika Kanisa la River of Joy, Calvary Assemblies of God, linaloongozwa na Mtume Mwamposa, lililopo Mtaa wa Rengua, Kata ya Mawenzi, Moshi Mjini, Mkoa wa Kilimanjaro, wakati ibada ikiendelea.  Tukio hilo limesababisha viongozi wa kanisa kutoka ibadani na kuomba msaada wa Jeshi la Polisi na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, ambao walifika eneo hilo na kufanikiwa kumshusha mwanaume huyo salama. Akizungumza baada ya tukio hilo,Sajenti Meja Martin Mapunda Fluko wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Moshi Mjini amesema walipata taarifa kutoka kwa Inspector Ali majira ya saa 3 asubuhi kuwa kuna mtu anayetaka kujitupa kutoka kwenye jengo hilo la ghorofa. Amesema alipofika eneo la tukio, alimkuta mwanaume huyo amelala juu ya bati, hivyo alizungumza naye kwa lengo la kumshawishi ashuke kwa usalama. “Nilijitambulisha kwake, nikamwambia mimi ni askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, nimekuja na wewe kukupa msaada,” amesema Fluko. Amesema mwanaume huyo alimsikiliza na baadaye akakubali kushuka, ambapo askari hao walimsaidia kufika chini bila kumkamata kwa nguvu. Fluko amesema katika mazungumzo ya awali walibaini kuwa mwanaume huyo alikuwa na matatizo ya kifamilia, huku jina lake likiwa bado halijafahamika. Amesema Jeshi la Zimamoto na Uokoaji litashirikiana na Jeshi la Polisi katika uchunguzi zaidi baada ya mwanaume huyo kutulia. Mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo, John Swai, aliyefika kanisani hapo asubuhi kwa ajili ya kununua mafuta ya upako, amesema kabla ya mwanaume huyo kupanda juu ya jengo alikutana naye nje ya kanisa na kumweleza kuwa alihitaji kuombewa. #fypシ #viraltiktok
Moshi.Moshi. Mwanaume ambaye jina lake halijafahamika amepanda juu ya dari la kanisa na kuanza kujikatakata kwa kisu sehemu mbalimbali za mwili wake , huku akidaiwa kutaka kujitupa kutoka kwenye jengo hilo la ghorofa. Tukio hilo limetokea leo, Jumapili, Septemba 13, 2026, katika Kanisa la River of Joy, Calvary Assemblies of God, linaloongozwa na Mtume Mwamposa, lililopo Mtaa wa Rengua, Kata ya Mawenzi, Moshi Mjini, Mkoa wa Kilimanjaro, wakati ibada ikiendelea. Tukio hilo limesababisha viongozi wa kanisa kutoka ibadani na kuomba msaada wa Jeshi la Polisi na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, ambao walifika eneo hilo na kufanikiwa kumshusha mwanaume huyo salama. Akizungumza baada ya tukio hilo,Sajenti Meja Martin Mapunda Fluko wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Moshi Mjini amesema walipata taarifa kutoka kwa Inspector Ali majira ya saa 3 asubuhi kuwa kuna mtu anayetaka kujitupa kutoka kwenye jengo hilo la ghorofa. Amesema alipofika eneo la tukio, alimkuta mwanaume huyo amelala juu ya bati, hivyo alizungumza naye kwa lengo la kumshawishi ashuke kwa usalama. “Nilijitambulisha kwake, nikamwambia mimi ni askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, nimekuja na wewe kukupa msaada,” amesema Fluko. Amesema mwanaume huyo alimsikiliza na baadaye akakubali kushuka, ambapo askari hao walimsaidia kufika chini bila kumkamata kwa nguvu. Fluko amesema katika mazungumzo ya awali walibaini kuwa mwanaume huyo alikuwa na matatizo ya kifamilia, huku jina lake likiwa bado halijafahamika. Amesema Jeshi la Zimamoto na Uokoaji litashirikiana na Jeshi la Polisi katika uchunguzi zaidi baada ya mwanaume huyo kutulia. Mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo, John Swai, aliyefika kanisani hapo asubuhi kwa ajili ya kununua mafuta ya upako, amesema kabla ya mwanaume huyo kupanda juu ya jengo alikutana naye nje ya kanisa na kumweleza kuwa alihitaji kuombewa. #fypシ #viraltiktok

About