@alisa.bkt: #bvbdortmund #fyp #fy

𝓐𝓵𝓲𝓼𝓪
𝓐𝓵𝓲𝓼𝓪
Open In TikTok:
Region: DE
Tuesday 15 September 2026 12:26:27 GMT
23740
3684
150
583

Music

Download

Comments

cvrllo
cvrllo :
2026-09-15 16:08:18
81
connor.27.07
Connor Lapulga! :
HEJA BVB
2026-09-16 01:26:26
29
patrickokum
Patt_RE_45 :
Hübsches Dortmunder Mädel 🥰
2026-09-16 07:14:50
8
4xycxj
🦦 :
holy baddie
2026-09-16 07:21:21
7
markus_w11
Markus_W11 :
Never seen you on Pinterest, but you pinned my interest
2026-09-16 18:10:13
3
m_erdl
Ⓜ️_Erdl :
Können ja zsm ins Stadion
2026-09-16 08:49:00
1
keine.ahnung1292
keine.ahnung1292 :
Eine Dortmunder baddy
2026-09-16 07:11:24
0
rs_9720
💨🇰🇿 :
Bruderrr wie viralllll❤️❤️
2026-09-16 11:37:09
1
b3yza.64
𝐁𝐞𝐲𝐳𝐚 :
2026-09-16 14:57:09
1
fiete.sz
Fiete :
BVB baddie
2026-09-16 15:13:31
52
vero_1108
️𝐕’ :
Oh wow
2026-09-15 12:52:48
2
burkan_8
Burkan :
Schalke auf die 1
2026-09-15 13:09:41
1
kiyanamly
KIKII🍒 :
2026-09-15 12:42:37
1
adr1an.hn
Adr1an :
2026-09-16 19:51:42
1
fynn.610
💸 :
2026-09-16 09:37:41
2
cupcae22
￴ ￴ ￴ ￴ ￴ ￴ ￴ ￴ ￴ ￴ ￴ :
BADDIE
2026-09-15 14:02:08
3
rs_9720
💨🇰🇿 :
❤️
2026-09-16 11:37:18
1
lejla.50
𝐋 :
2026-09-16 13:40:23
1
q1noell
່ :
🖤💛
2026-09-16 05:15:14
2
sop11ia_23
𝘀𝗼𝗽𝗵𝗶𝗮' :
ohhh wow
2026-09-15 14:59:34
2
mika.ka007
mika.ka007 :
2026-09-16 10:58:57
1
sham_46.5
💸 :
2026-09-15 13:14:09
1
jaspreet46er
JxK⚡️ :
2026-09-15 13:04:15
0
To see more videos from user @alisa.bkt, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

VIDEO: Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, SACP William Mkonda, amesema kabla ya kuanza utekelezaji wa Mfumo wa Pointi kwenye leseni za udereva, Jeshi la Polisi linatarajia kutoa elimu ya kutosha kwa madereva na wadau wa usalama barabarani. SACP Mkonda amesema hatua hiyo imechukuliwa baada ya kubaini kuwepo kwa mashaka na taarifa zinazozagaa katika makundi ya WhatsApp na maeneo mengine kuhusu mfumo huo, akisisitiza kuwa kanuni ipo tayari, lakini elimu inapaswa kutolewa kwanza kabla ya utekelezaji wake. Amesema katika zoezi hilo watatoa vipeperushi vyenye maelezo kuhusu namna mfumo huo utakavyofanya kazi, makosa yanayoweza kuhusishwa na pointi pamoja na mambo ambayo madereva wanapaswa kuyafahamu ili kujilinda dhidi ya ukiukaji wa sheria. Aidha, SACP Mkonda amekanusha taarifa kwamba kwa sasa madereva wanapopewa tiketi za makosa ya barabarani wanakatwa pointi kwenye leseni zao, akieleza kuwa alama zinazoonekana kwenye mfumo zilikuwepo tangu kipindi cha majaribio cha mwaka 2014 na hazimaanishi kuwa pointi mpya zimekatwa kwenye leseni za madereva. Amesema ili pointi ziweze kuhusishwa moja kwa moja na leseni ya dereva, mfumo huo unatakiwa kuunganishwa na mfumo wa mamlaka inayohusika na utoaji wa leseni. SACP Mkonda amewataka viongozi wa madereva na wadau wengine kuwa sehemu ya kutoa elimu badala ya kueneza taarifa zisizo sahihi, akisisitiza kuwa viongozi wanapaswa kuwa walimu na kusema ukweli kwa wanachama wao. Amesema lengo ni kuhakikisha elimu ya kutosha inatolewa na changamoto zilizobainishwa na viongozi wa madereva zinashughulikiwa kabla ya kuanza utekelezaji kamili wa mfumo huo. #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #DarEsSalaam #Tanzania #Bongo #Habari #HabariLeo #BreakingNewsTZ #TanzaniaNews #BongoUpdates #TzUpdates #TzNews #BongoMedia #MediaTanzania #OnlineTV #trendingréels #tanzaniatrending #polisiviral #Asanteni #tanzaniatrending_habari #tanzaniatrendingsong #mediatanzania #tanzaniatrendingvideos #tanzaniatrendingstory #TanzaniaTre #madeintanzania🇹🇿 #madeintanzan #madeintanzania #SupportLocal #madeintanzaniat #roadto100followersontwitch #madeintanzaniawith #chawamata_tv #viraltz
VIDEO: Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, SACP William Mkonda, amesema kabla ya kuanza utekelezaji wa Mfumo wa Pointi kwenye leseni za udereva, Jeshi la Polisi linatarajia kutoa elimu ya kutosha kwa madereva na wadau wa usalama barabarani. SACP Mkonda amesema hatua hiyo imechukuliwa baada ya kubaini kuwepo kwa mashaka na taarifa zinazozagaa katika makundi ya WhatsApp na maeneo mengine kuhusu mfumo huo, akisisitiza kuwa kanuni ipo tayari, lakini elimu inapaswa kutolewa kwanza kabla ya utekelezaji wake. Amesema katika zoezi hilo watatoa vipeperushi vyenye maelezo kuhusu namna mfumo huo utakavyofanya kazi, makosa yanayoweza kuhusishwa na pointi pamoja na mambo ambayo madereva wanapaswa kuyafahamu ili kujilinda dhidi ya ukiukaji wa sheria. Aidha, SACP Mkonda amekanusha taarifa kwamba kwa sasa madereva wanapopewa tiketi za makosa ya barabarani wanakatwa pointi kwenye leseni zao, akieleza kuwa alama zinazoonekana kwenye mfumo zilikuwepo tangu kipindi cha majaribio cha mwaka 2014 na hazimaanishi kuwa pointi mpya zimekatwa kwenye leseni za madereva. Amesema ili pointi ziweze kuhusishwa moja kwa moja na leseni ya dereva, mfumo huo unatakiwa kuunganishwa na mfumo wa mamlaka inayohusika na utoaji wa leseni. SACP Mkonda amewataka viongozi wa madereva na wadau wengine kuwa sehemu ya kutoa elimu badala ya kueneza taarifa zisizo sahihi, akisisitiza kuwa viongozi wanapaswa kuwa walimu na kusema ukweli kwa wanachama wao. Amesema lengo ni kuhakikisha elimu ya kutosha inatolewa na changamoto zilizobainishwa na viongozi wa madereva zinashughulikiwa kabla ya kuanza utekelezaji kamili wa mfumo huo. #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #DarEsSalaam #Tanzania #Bongo #Habari #HabariLeo #BreakingNewsTZ #TanzaniaNews #BongoUpdates #TzUpdates #TzNews #BongoMedia #MediaTanzania #OnlineTV #trendingréels #tanzaniatrending #polisiviral #Asanteni #tanzaniatrending_habari #tanzaniatrendingsong #mediatanzania #tanzaniatrendingvideos #tanzaniatrendingstory #TanzaniaTre #madeintanzania🇹🇿 #madeintanzan #madeintanzania #SupportLocal #madeintanzaniat #roadto100followersontwitch #madeintanzaniawith #chawamata_tv #viraltz

About