@aoteby__: #تحفيز #السودان_مشاهير_تيك_توك #foryou #viral #fyp

العتيبي🌿
العتيبي🌿
Open In TikTok:
Region: SD
Sunday 20 September 2026 11:06:53 GMT
3568
166
28
7

Music

Download

Comments

mohammd.mutasim
Mohammd Mutasim :
اول شي خريطه السودان ناقصه
2026-09-20 12:50:35
6
eng.mokho
🤍Eng MOKHO 🩵🏄 :
🏄🫂❤️❤️❤️
2026-09-20 12:13:12
2
ali.jk521
SȺ.SILVER🕸 :
والله السودان دا داير ليهو اعادة ضبط من بداية الشعب لى الحكومة
2026-09-20 12:02:26
3
afnan.mohamed026
Afnan❣ :
2026-09-20 12:13:13
2
249sudanese10
OSAMA :
2026-09-20 11:46:08
2
b1asst
BLACK :
2026-09-20 12:23:02
1
edits..9045
لولا المعانة :
اخيرا واحد يشاركني نفس التفكير
2026-09-20 12:55:58
1
magdi20000
♧ دمجي دمجي ♧ :
استمر
2026-09-20 13:15:41
1
mohamed_ya7yaa
كاسيان 🇸🇩 :
2026-09-20 13:30:33
1
mohamedff4774
MOHAMED FF :
2026-09-20 11:22:04
1
yo_usif
Yo💭 :
2026-09-20 14:05:36
0
pedro.md61
𝑪𝒓𝒐𝒘 𝒙 :
لا للعنصرية لا للقبلية ✊🏾
2026-09-20 13:59:40
0
nana141nana
اللهم اغفر للمؤمنين و المؤمنات :
العنصريه دي ما اسوأ شي لانو نادرين لكن البيمزحو بالعنصريه ديل اسوأ ما تقول ل صحبك يا ع ب د ولا الي بيسبوا بالمزح انتو كدا بيتقللوا من اهميه الشي لحد ما يبقى عادي حتى الح ر ب في البدايه كان الموضوع خطير لكن الناس بقت تضحك و تهظر ف بقى ماف زول مهتم و عادي !!
2026-09-20 12:57:34
1
userpqdu7d5u04
فـــاتــــك؟ :
الناس بقت تتبدل بالذكاء الاصتناعي السوداني: قبيلتي وقبلتك
2026-09-20 13:05:54
2
35786475m
ْ :
مبدع 🌹
2026-09-20 15:16:03
1
To see more videos from user @aoteby__, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

#*NOVENA KWA MAMA BIKIRA MARIA WA MATESO SABA* *SAA LA KWANZA (1)* Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu Amina  Unabii wa Simeoni Mama mwenye Mateso zaidi, Mateso yalijaa moyoni mwako wakati wa  kumtolea Mwana wako wa kimungu hekaluni, Simeon Mtakatifu alitabiri  kwamba upanga utachoma Moyo wako. Hapo ndipo ulijua utateseka na Yesu.  Malkia wa Mashahidi, sasa niunganishe moyo wangu kwako kwa maumivu  haya, na nikuombe neema ya kuweka mawazo ya kifo changu akilini, ili  niepuke dhambi kila wakati.  Salamu Maria.x1  *SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE* Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi,  uliyesimama chini ya msalaba na uliyemtazama Mwana wako akifa, unitazame  kwa huruma ya kimama ninayekusikitikia.  Kwa sababu ya upanga uliochoma moyo wako, kwa mateso ya maisha yako  nakuomba uniangalie kwa wema ukasikilize maombi yangu. Nakuomba, ee  Mama, uniombee daima kwa Mwana wako, najua hawezi kukunyima wewe  kitu chochote.  Basi, ufanye, Moyo wa Mwanao ukubali kunijalia ombi langu  hili …………………(taja ombi lako) Maana nitamkimbilia nani katika mahitaji na misiba yangu isipokuwa kwako,  ee Mama wa huruma? Wewe hasa unaweza kutusaidia sisi tulio bado katika  bonde la machozi kwa sababu ulishiriki mateso ya Mwanao kutukomboa. Umtolee Yesu tone moja la Damu yake takatifu. Umkumbushe ya kuwa wewe  ni matumaini, furaha na maisha yetu ukanipatie jambo ninalokuomba kwa  Yesu Kristo, bwana wetu.  *KUMBUKA/ MEMORARE*  Kumbuka, ee Bikira Maria mpole sana, haijasikilika kamwe kwamba  ulimwacha mtu aliyekimbilia ulinzi wako, aliyeomba msaada na maombezi  yako.Kwa matumaini hayo, nakukimbilia wewe eh Mama Mkuu wa mabikira.  Ninakuja kwako, nasimama mbele yako, nikilalamika Mimi mkosefu, Eeh  Mama wa neno la Mungu, Naomba usikatae maneno yangu, bali uyasikilize....  Amina.  *SALI ROSALI YA MATESO SABA YA MAMA BIKIRA MARIA* *NAMNA YA KUISALI* ✝️Anza na Ishara ya Msalaba  *SALA YA UFUNGUZI:*  MUNGU wangu ninakutolea rozari hii Kwa ajili ya utukufu wako, ili niweze  kumheshimu mama mtakatifu Bikira Maria, ili niweze kutafakari mateso yake.  Kwa upole ninakuomba wewe unipatie mimi toba ya kweli ya dhambi zangu.  Ninakuomba unipe mimi busara na unyenyekevu ili niweze kupokea neema  na baraka ambazo zinapatikana katika sala hii.  *SALA YA KUTUBU:*  MUNGU wangu ninatubu Sana dhambi zangu.............  Punje Tatu za mwanzo....  *Salamu Maria x3*  Kwenye medali Sali Sala hii:  Mama mwenye huruma tukumbushe kila wakati Kuhusu mateso ya YESU  mwanao.  *TESO LA KWANZA:*  Utabiri wa simioni (Luka 2:25-35)  kuwa moyo wa Mama Maria utachomwa kwa upanga wa mateso  *Ukimya/Tafakari*  *Baba yetu x1*  *Salamu Maria x7*  Mama mwenye huruma tukumbushe kila wakati Kuhusu mateso ya YESU  mwanao  *TESO LA PILI:*  Mama Bikira Maria na Mtakatifu Yosefu wanakimbilia Misri  usiku ili kumficha mtoto YESU asiuawe na Herode (Mt 2:12-18)  Tuombe neema ili mioyo yetu iwe kimbilio Lake YESU. Mama mwenye huruma tukumbushe kila wakati Kuhusu mateso ya YESU  Mwanao *Ukimya/Tafakari* *Baba yetu x1*  *Salamu Maria x7*  Mama mwenye huruma tukumbushe kila wakati Kuhusu mateso ya YESU  Mwanao *TESO LA TATU:*  Mama Bikira Maria aliona uchungu Sana mwanae YESU  alipopotelea hekaluni (Luka 2:41-51)  Tuombe neema ya kudumu na YESU mioyoni mwetu.  Mama mwenye huruma tukumbushe kila wakati Kuhusu mateso ya YESU  Mwanao Ukimya/Tafakari  *Baba yetu x1…..*  *Salamu Maria x7……*  Mama mwenye huruma tukumbushe kila wakati Kuhusu mateso ya YESU  Mwanao *TESO LA NNE:*  Mama Bikira Maria aliona uchungu Sana alipokutana na  mwanae amebeba msalaba (Luka 23:26-31)  Tuombe neema ya kudumu na YESU siku zote.  Mama mwenye huruma tukumbushe kila wakati Kuhusu mateso ya YESU  Mwanao Ukimya/Tafakari  Baba yetu x1…..  Salamu Maria x7……  Mama mwenye huruma tukumbushe kila wakati Kuhusu mateso ya YESU  Mwanao *TESO LA TANO:*  Mama Bikira Maria aliona uchungu Sana alipomwona  mwanae YESU anasulibiwa na Kufa msalabani (Yohana 19:25-27)Tuombe neema ya Kufa
#*NOVENA KWA MAMA BIKIRA MARIA WA MATESO SABA* *SAA LA KWANZA (1)* Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu Amina Unabii wa Simeoni Mama mwenye Mateso zaidi, Mateso yalijaa moyoni mwako wakati wa kumtolea Mwana wako wa kimungu hekaluni, Simeon Mtakatifu alitabiri kwamba upanga utachoma Moyo wako. Hapo ndipo ulijua utateseka na Yesu. Malkia wa Mashahidi, sasa niunganishe moyo wangu kwako kwa maumivu haya, na nikuombe neema ya kuweka mawazo ya kifo changu akilini, ili niepuke dhambi kila wakati. Salamu Maria.x1 *SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE* Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na uliyemtazama Mwana wako akifa, unitazame kwa huruma ya kimama ninayekusikitikia. Kwa sababu ya upanga uliochoma moyo wako, kwa mateso ya maisha yako nakuomba uniangalie kwa wema ukasikilize maombi yangu. Nakuomba, ee Mama, uniombee daima kwa Mwana wako, najua hawezi kukunyima wewe kitu chochote. Basi, ufanye, Moyo wa Mwanao ukubali kunijalia ombi langu hili …………………(taja ombi lako) Maana nitamkimbilia nani katika mahitaji na misiba yangu isipokuwa kwako, ee Mama wa huruma? Wewe hasa unaweza kutusaidia sisi tulio bado katika bonde la machozi kwa sababu ulishiriki mateso ya Mwanao kutukomboa. Umtolee Yesu tone moja la Damu yake takatifu. Umkumbushe ya kuwa wewe ni matumaini, furaha na maisha yetu ukanipatie jambo ninalokuomba kwa Yesu Kristo, bwana wetu. *KUMBUKA/ MEMORARE* Kumbuka, ee Bikira Maria mpole sana, haijasikilika kamwe kwamba ulimwacha mtu aliyekimbilia ulinzi wako, aliyeomba msaada na maombezi yako.Kwa matumaini hayo, nakukimbilia wewe eh Mama Mkuu wa mabikira. Ninakuja kwako, nasimama mbele yako, nikilalamika Mimi mkosefu, Eeh Mama wa neno la Mungu, Naomba usikatae maneno yangu, bali uyasikilize.... Amina. *SALI ROSALI YA MATESO SABA YA MAMA BIKIRA MARIA* *NAMNA YA KUISALI* ✝️Anza na Ishara ya Msalaba *SALA YA UFUNGUZI:* MUNGU wangu ninakutolea rozari hii Kwa ajili ya utukufu wako, ili niweze kumheshimu mama mtakatifu Bikira Maria, ili niweze kutafakari mateso yake. Kwa upole ninakuomba wewe unipatie mimi toba ya kweli ya dhambi zangu. Ninakuomba unipe mimi busara na unyenyekevu ili niweze kupokea neema na baraka ambazo zinapatikana katika sala hii. *SALA YA KUTUBU:* MUNGU wangu ninatubu Sana dhambi zangu............. Punje Tatu za mwanzo.... *Salamu Maria x3* Kwenye medali Sali Sala hii: Mama mwenye huruma tukumbushe kila wakati Kuhusu mateso ya YESU mwanao. *TESO LA KWANZA:* Utabiri wa simioni (Luka 2:25-35) kuwa moyo wa Mama Maria utachomwa kwa upanga wa mateso *Ukimya/Tafakari* *Baba yetu x1* *Salamu Maria x7* Mama mwenye huruma tukumbushe kila wakati Kuhusu mateso ya YESU mwanao *TESO LA PILI:* Mama Bikira Maria na Mtakatifu Yosefu wanakimbilia Misri usiku ili kumficha mtoto YESU asiuawe na Herode (Mt 2:12-18) Tuombe neema ili mioyo yetu iwe kimbilio Lake YESU. Mama mwenye huruma tukumbushe kila wakati Kuhusu mateso ya YESU Mwanao *Ukimya/Tafakari* *Baba yetu x1* *Salamu Maria x7* Mama mwenye huruma tukumbushe kila wakati Kuhusu mateso ya YESU Mwanao *TESO LA TATU:* Mama Bikira Maria aliona uchungu Sana mwanae YESU alipopotelea hekaluni (Luka 2:41-51) Tuombe neema ya kudumu na YESU mioyoni mwetu. Mama mwenye huruma tukumbushe kila wakati Kuhusu mateso ya YESU Mwanao Ukimya/Tafakari *Baba yetu x1…..* *Salamu Maria x7……* Mama mwenye huruma tukumbushe kila wakati Kuhusu mateso ya YESU Mwanao *TESO LA NNE:* Mama Bikira Maria aliona uchungu Sana alipokutana na mwanae amebeba msalaba (Luka 23:26-31) Tuombe neema ya kudumu na YESU siku zote. Mama mwenye huruma tukumbushe kila wakati Kuhusu mateso ya YESU Mwanao Ukimya/Tafakari Baba yetu x1….. Salamu Maria x7…… Mama mwenye huruma tukumbushe kila wakati Kuhusu mateso ya YESU Mwanao *TESO LA TANO:* Mama Bikira Maria aliona uchungu Sana alipomwona mwanae YESU anasulibiwa na Kufa msalabani (Yohana 19:25-27)Tuombe neema ya Kufa

About