Tumbo lililokubeba limebarikiwa masha Allah,Allah akuzidishie ufahamu zaidi naamjaalie kheri mamaako siku zote
2026-06-20 10:22:25
495
@mjasiri1401 :
Kaka I got your point. Ila nakuomba urudie hii clip, kwa undani zaidi, neno langu la ziada kwavile umegusia dini, nami nasema ivi, nionavyo mm ni ubinafsi2 umetutawala, uvivu tunao kweli pia na aibu ya kuajiriwa baadhi ya ajira ngungwa, mana toka tukiwa wadogo tulikuwa tukisikia (kazi zakinyamwezi) bro.. maskini jeuri ni msemo2 tusipumbazike... one love zanzibar Tanzania 🇹🇿 🙏
2026-06-20 14:45:02
132
Blackisbeautiful :
i got u bro, god bless u and your family
2026-06-21 07:11:09
3
Swisma_cake&Bites :
hiki ndio nlikua namani kukisikia muda mrefu Allah akulipe kwa hekima
2026-06-20 14:43:25
152
alfan ocean food :
@ally:weye unafaa kuwa kiongonzi wa vijana wote Zanzibar mungu akulinde akuhifadhi...
2026-06-20 17:59:27
71
kalaba :
UNA BUSARA YA BARA 🥰
2026-06-20 19:59:31
50
kiyaya😜 :
mmeanza pona mmoja mmoja
2026-06-20 15:52:31
42
dullahmkoye :
yuhu jamaa na muelewa tangia first time namuona
2026-06-20 14:00:50
46
ally :
weye unafaa kuwa kiongonzi wa vijana wote Zanzibar mungu akulinde akuhifadhi...
2026-06-20 10:42:41
61
haroun Muslim :
huyu jamaa anakili ya miaka ya mbele🫡🫡🫡
2026-06-20 14:51:06
32
princesskidoti539 :
Ningetamani uwe mkwe wangu nimekupenda bure Ba mkwe🥰🥰🥰🥰🥰
2026-06-21 06:35:36
9
the fighter :
akhuy Allah akuhifadhi na akulipe pepo sawa na daraja atakayopenda mola wako kesho inshallah🤲
2026-06-20 17:56:59
25
The traveller :
jah bless you bro!!
2026-06-20 17:00:00
1
f_Official255 :
kama unamkubali utofyoro gonga like apa
2026-06-21 04:58:11
15
Double J Bestman :
🙏🙏🙏mashaallah ❤️😍 uislamu ndivyo unavotaka Allah atuongoze kwa wema
2026-06-21 06:02:22
12
Poper77 :
Oya wee mzee akili yako ya mwaka wa mbele kabisa mzee wangu Mungu akubless!!
2026-06-21 10:50:59
6
Yang_Bravor :
fact respect sana broo 💯
2026-06-21 08:09:59
3
Yahya 4🖐🍁 :
mwanangu weeee umeongea point 👉 Tanzania 🇹🇿 1 Zanzibar 1🤝
2026-06-20 08:01:58
20
Khamis abdallah omary Khamis m :
Allah akuhifadhi
2026-06-20 07:41:20
37
💕giftbieb💖 :
mashalla miwani nimeipenda🥰😅
2026-06-20 17:25:19
25
bigfeisal28 :
mwenyezi mungu akujalie uishi kwa upeo wakuona mbali hvyohvyo inshaalah🙏
2026-06-20 07:14:18
25
arkam :
mashaalah umeongea point bro usichoke kualingania vijana wezetu